kofia ya plastiki
JF-Expert Member
- Jun 9, 2019
- 416
- 404
Kuna mjadala kwamba vipi waliohitimu elimu ya juu hasa wanaume, kwa situation ya sasa ya kukosa ajira za kudumu kuendelea kubaki nyumbani ni uoga au akili ya kuwa ukitoka nyumbani usalama wako unakuwa mdogo?
Aither kuna utafiti kuwa vijana wengi hawawezi kuishi maeneo ya nyumbani, yaani mazingira yale aliyokulia, kwa hofu kuwa baadhi ya raia hasa wale waliofeli form 4 na primary standard 7 Watamuuliza maswali ya hapa na pale, hivyo wanaona bora watimkie mbali kidogo na pale.
Vipi, wewe una maoni gani juu ya jambo hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aither kuna utafiti kuwa vijana wengi hawawezi kuishi maeneo ya nyumbani, yaani mazingira yale aliyokulia, kwa hofu kuwa baadhi ya raia hasa wale waliofeli form 4 na primary standard 7 Watamuuliza maswali ya hapa na pale, hivyo wanaona bora watimkie mbali kidogo na pale.
Vipi, wewe una maoni gani juu ya jambo hili?
Sent using Jamii Forums mobile app