msema_kweli
Senior Member
- Nov 6, 2013
- 178
- 101
Mimi ni kijana Mtanzania ni dereva na fundi mechanical, nina uzoefu wa kutosha kwenye udereva na ufundi nimesoma chuo cha NIT udereva na chuo cha ufundi VETA
Niko tayari kufanya kazi popote Tanzania madaraja niliyonayo ni A, A1, B, C, C1, C2, C3, D na E
Mawasiliano yangu ni 0784 619897
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko tayari kufanya kazi popote Tanzania madaraja niliyonayo ni A, A1, B, C, C1, C2, C3, D na E
Mawasiliano yangu ni 0784 619897
Sent using Jamii Forums mobile app