ukihisii mumeo kagonga nje omba game

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
we kama mke una halali ya kuomba michezo unayotaka
so kama ukiwa mwanandoa mwenzangu unahisi mumeo katoka nje na we nenda mwombe mungu akuonyeshe macho ya ndani sec nenda omba tunda la roho hiyo ni haki yako tena jitayarishe hata sita utajua tu
polen wanandoa

ndoa si shida ni baraka kwa MUNGU
 
Ahhaaaaaaaa kumbeeee! duh! niliwahi siku moja kuulizwa baada ya game mbona umetema kiduchu halafu vyepesiiiiii ikafatia na swali " au umechakachua kitaa??" :bowl:
 
Hata kama amelewa chakari utaomba gemu (msinunukuu vibaya)...
 
Plan B?

Ukigonga nje rudi home ukizuga umelewa chakari..........:tape::tape::tape:

Thats out of context....and its actually post deformation....and am cautioning you....:tape::tape::tape:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom