kwan kiungo kip kinalewa sana ukiwa umelewa?
Unajua ulevi unaanzia miguuni...unapanda hadi kichwani....
kwan kiungo kip kinalewa sana ukiwa umelewa?
mwalimu wa mwandiko au wa hisabat?
Plan B?
Ukigonga nje rudi home ukizuga umelewa chakari..........:tape::tape::tape:
kwani ukilewa chakari na nanihiii nae analewa? nikionaga hivyo wewe jilalie mie ntaendelea, uone kama hujajinyanyua kuni support.
Mh wengine wataalamu wakija wanajifanya hoi wagonjwa na hawajalewa hata kidogo ila kulalamika na dawa wanakunywa...
kwani ukilewa chakari na nanihiii nae analewa? nikionaga hivyo wewe jilalie mie ntaendelea, uone kama hujajinyanyua kuni support.
chini ya kitovu...kinalewa kuelekea mbele[/QUOTE
mweee haya...usiendelee nimeelewa.(nimekoma kuuliza)
kwani ukilewa chakari na nanihiii nae analewa? nikionaga hivyo wewe jilalie mie ntaendelea, uone kama hujajinyanyua kuni support.
NO, sayansi kimu!!!!
Unajua ulevi unaanzia miguuni...unapanda hadi kichwani....
QUANTITY vs QUALITY :smile::smile::smile:
Ahhaaaaaaaa kumbeeee! duh! niliwahi siku moja kuulizwa baada ya game mbona umetema kiduchu halafu vyepesiiiiii ikafatia na swali " au umechakachua kitaa??" :bowl:
Kwani nilikuwa nakuambia wewe? Kiherehere.......:doh::doh::doh:
Kumbuka uchakachuzi umepita mahala hapo kama nusu saa iliyopita....
kwani nani alikuwa anakuambia wewe? mxsiii...unataka kucheua makande?
haina tabu kama itacmama......
Kwa hiyo na sie tuwe tunaangalia hizo QUANTITY vs QUALITY?
Du!!!!!kweli mpwa, quality zingine zimekaa ki - Dovutwa