Ukifuatilia Ripoti ya pili ya Makinikia, wajue Wanasheria Wakuu wa Tanzania tangu Uhuru

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,175
25,446
Leo, Ripoti ya pili ya makinikia inawasilishwa. Ripoti hiyo inawasilishwa na Kamati Maalum iliyoundwa na Rais chini ya Prof. Osoro. Kimsingi, Ripoti hii itajikita kwenye athari za kiuchumi na za kisheria zilizotokana na usafirishaji wa makinikia kwa miaka yote.

Kikatiba, Mwanasheria Mkuu wa Serikali almaarufu kama AG ndiye Mshauri mkuu wa kisheria wa Serikali. Ndiye hasa anapaswa kuishauri Serikali katika mambo ya kisheria ili kuiepusha nchi na athari za kiuchumi na kisheria katika mikataba, sheria na kadhalika.

Wakati mkifuatilia na kufanya tafakuri za Ripoti ya pili ya makinikia, wajueni Wanasheria Wakuu wa Serikali kuanzia uhuru wa Tanzania hadi leo. Ni hawa:

# Attorney General Tenure
1 Roland Brown[2] 1964–1965
2 Mark Bomani[3] 1965–1976
3 Joseph Warioba[4] 1976–1985
4 Damian Lubuva[5] 1985–1993
5 Andrew Chenge 1993–2005
6 Johnson Mwanyika 2005–2009
7 Frederick Werema 2009–2014
8 George Masaju Incumbent
 
Leo, Ripoti ya pili ya makinikia inawasilishwa. Ripoti hiyo inawasilishwa na Kamati Maalum iliyoundwa na Rais chini ya Prof. Osoro. Kimsingi, Ripoti hii itajikita kwenye athari za kiuchumi na za kisheria zilizotokana na usafirishaji wa makinikia kwa miaka yote.

Kikatiba, Mwanasheria Mkuu wa Serikali almaarufu kama AG ndiye Mshauri mkuu wa kisheria wa Serikali. Ndiye hasa anapaswa kuishauri Serikali katika mambo ya kisheria ili kuiepusha nchi na athari za kisheria katika mikataba, sharia na kadhalika.

Wakati mkifuatilia na kufanya tafakuri za Ripoti ya pili ya makinikia, wajueni Wanasheria Wakuu wa Serikali kuanzia uhuru wa Tanzania hadi leo. Ni hawa:

# Attorney General Tenure
1 Roland Brown[2] 1964–1965
2 Mark Bomani[3] 1965–1976
3 Joseph Warioba[4] 1976–1985
4 Damian Lubuva[5] 1985–1993
5 Andrew Chenge 1993–2005
6 Johnson Mwanyika 2005–2009
7 Frederick Werema 2009–2014
8 George Masaju Incumbent
nani aliishauri serikali katika kipindi cha madini-
 
Leo, Ripoti ya pili ya makinikia inawasilishwa. Ripoti hiyo inawasilishwa na Kamati Maalum iliyoundwa na Rais chini ya Prof. Osoro. Kimsingi, Ripoti hii itajikita kwenye athari za kiuchumi na za kisheria zilizotokana na usafirishaji wa makinikia kwa miaka yote.

Kikatiba, Mwanasheria Mkuu wa Serikali almaarufu kama AG ndiye Mshauri mkuu wa kisheria wa Serikali. Ndiye hasa anapaswa kuishauri Serikali katika mambo ya kisheria ili kuiepusha nchi na athari za kisheria katika mikataba, sharia na kadhalika.

Wakati mkifuatilia na kufanya tafakuri za Ripoti ya pili ya makinikia, wajueni Wanasheria Wakuu wa Serikali kuanzia uhuru wa Tanzania hadi leo. Ni hawa:

# Attorney General Tenure
1 Roland Brown[2] 1964–1965
2 Mark Bomani[3] 1965–1976
3 Joseph Warioba[4] 1976–1985
4 Damian Lubuva[5] 1985–1993
5 Andrew Chenge 1993–2005
6 Johnson Mwanyika 2005–2009
7 Frederick Werema 2009–2014
8 George Masaju Incumbent

Ungetuwekea na Mawakili wa serikali (State Attorneys) waliokuwa wanahudumu kwenye wizara husika kuanzia uhuru hadi leo italeta maana zaidi.
 
Takwimu zinaonyesha kuwa shughuli za uchimbaji mkubwa wa madini zimeongezeka kwa kuanzishwa migodi mikubwa sita mipya ya dhahabu kati ya mwaka 1997 na 2007.


MIKATABA YA MADINI

Kati ya mwaka 1994 na 2007, mikataba ya migodi mikubwa sita ya dhahabu ilisainiwa

1. Bulyanhulu Agosti 5, 1994

2. Golden Pride ulioko Nzega – Juni 25, 1997

3. Geita Gold Mine uliopo Geita – Juni 24, 1999

4. North Mara uliopo Tarime – Juni 24, 1999

5. Tulawaka uliopo Biharamulo – Desemba 29, 2003

6. Buzwagi uliopo Kahama – Februari 17, 2007

UCHUNGUZI MCHANGA WA DHAHABU, WAIBUA RIPOTI YA JAJI BOMANI


Kwa kinachoonekana hapo Johnson Mwanyika 2005–2009 ndio hasa muhusika mkuu wa hii mikataba mingi.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom