Ukifiwa na mke au mume huku ukiwa na watoto kuanzia wawili, ni vizuri usioe/usiolewe tena

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,383
40,280
Ukifiwa na mke au mume huku ukiwa na watoto kuanzia wawili, ni vizuri usioe/usiolewe tena. Ni bora hamu zako uwe unazimaliza juu kwa juu lakini usikaribishe mtu kwenye mali mlizotafuta na mwenzako ambaye kwa sasa ni marehemu. Kumkaribisha mtu wa namna hiyo ni kuwatesa watoto na kuwanyima haki zao, mbali na wewe pia kuvurugwa. Wapo waliovurugwa kwa staili hiyo, walikuwa wako juu kimaisha sasa wako chini.

Tahadhari ni muhimu zaidi, wakuu mnasemaje?
 
unapofiwa na mke au mume kusema usiowe tena unakosea sana bora ungelisema usifanye haraka ya kuowa au kuolewa bila kuangalia mustakabali wa watoto kwanza jingine wewe umeangalia mali tu ingawa wapo wanafiwa hawana kitu nao unaweka kwenye fungu gan
 
unapofiwa na mke au mume kusema usiowe tena unakosea sana bora ungelisema usifanye haraka ya kuowa au kuolewa bila kuangalia mustakabali wa watoto kwanza jingine wewe umeangalia mali tu ingawa wapo wanafiwa hawana kitu nao unaweka kwenye fungu gan
Anatakiwa aimarishe msingi wa watoto kwanza,kwa sababu kuingia kwenye ndoa mpya ni kukaribisha vita kwa hao watoto na yeye pia
 
unapofiwa na mke au mume kusema usiowe tena unakosea sana bora ungelisema usifanye haraka ya kuowa au kuolewa bila kuangalia mustakabali wa watoto kwanza jingine wewe umeangalia mali tu ingawa wapo wanafiwa hawana kitu nao unaweka kwenye fungu gan
Ukifiwa na mke au mume huku ukiwa na watoto kuanzia wawili, ni vizuri usioe/usiolewe tena. Ni bora hamu zako uwe unazimaliza juu kwa juu lakini usikaribishe mtu kwenye mali mlizotafuta na mwenzako ambaye kwa sasa ni marehemu. Kumkaribisha mtu wa namna hiyo ni kuwatesa watoto na kuwanyima haki zao, mbali na wewe pia kuvurugwa. Wapo waliovurugwa kwa staili hiyo, walikuwa wako juu kimaisha sasa wako chini. Tahadhari ni muhimu zaidi, wakuu mnasemaje?
Nakubaliana na mtoa maada kwa asilimia mia.. Nina mfano hai nmeuona kuna mama mmoja alifiwa na mume wame akiwa na watoto watatu na alikuwa na Mali nyingi ambazo alitafuta na marehemu mume wake na zingne aliziendeleza yeye mwenyew ambapo alikuwa na nyumba mbili, viwanja vitatu, na nyumba za kulala wageni baadae akaamua kuolewa dah! Maskini ya mungu mama huyo hakudumu kwenye hyo ndoa hata mwaka haukupita akafariki kwa ugonjwa Wa ajabu tu.. Mpaka Sasa ninavyoandika hapa watoto hawajaambulia kitu hata kimoja Mali zote wamedhulumiwa wanatangatanga tu.. Dunia hii unaweza kuua mtu
 
Mkuu una hoja japo kwa mtazamo wangu naona ikitokea ivo basi ni muda wa kutulia mpaka uhakikishe hatima ya madogo imeshaeleweka kabisa yani wamekuwa enough na tayari una document na kuwapa some of assets ndio Unavuta kivuruge ndani sasa
Watoto kama ni wadogo si shauri kabisa kuoa au kuolewa
 
Nakubaliana na mtoa maada kwa asilimia mia.. Nina mfano hai nmeuona kuna mama mmoja alifiwa na mume wame akiwa na watoto watatu na alikuwa na Mali nyingi ambazo alitafuta na marehemu mume wake na zingne aliziendeleza yeye mwenyew ambapo alikuwa na nyumba mbili, viwanja vitatu, na nyumba za kulala wageni baadae akaamua kuolewa dah! Maskini ya mungu mama huyo hakudumu kwenye hyo ndoa hata mwaka haukupita akafariki kwa ugonjwa Wa ajabu tu.. Mpaka Sasa ninavyoandika hapa watoto hawajaambulia kitu hata kimoja Mali zote wamedhulumiwa wanatangatanga tu.. Dunia hii unaweza kuua mtu
Kweli mkuu,na hicho kifo si ajabu kimesababishwa na huyo bwana wake
 
Back
Top Bottom