Ukifika Mlimani City utadhani Watanzania wako katika uchumi wa juu kabisa au wa kati

S.N.Jilala

JF-Expert Member
Jan 26, 2012
540
507
Moja ya sababu ambayo huwa inanipeleka Mlimani City ukiacha kwenda kununua baadhi ya vitu ambavyo madukani ni ghali zaidi kama Maji na vitu vidogo vidogo ni kwenda kupoteza mawazo kidogo kama kushangaa Watanzania wengi wanavyoigiza maisha yao. Lakini inafariji sana kwa muda mfupi. Pale Mlimani City, huwezi kumjua wa Temeke, Gongolamboto au Manzese Uswahilini kabisa. Wote utadhani wanakaa Masaki, Mikocheni au karibia wote kabisa ukiwatazama walivyovaa, wanavyotembea utadhani Taifa hili liko katika Uchumi wa Juu kabisa au kama si wa juu liko katika Uchumi wa Kati. Kumbe ni Usasa tu uliopo Mlimani City (Modernization) na si vinginevyo. Mnajua wale mliosoma nadharia ya Usasa (Modernization Theory). Mmmmmmh!!! Ahsante Mlimani City.

Ahsante sana kwa kuwa na Mlimani City, naomba watengeneze sehemu nyingi zaidi ili shida zetu tukazipoze hapo.


Globalization is a real discourse.
 
Hhhh hapo mlimani city wadada wengi huwa wanatoka katikati ya jiji hahaha
Kila mwanamke akiingia hapo ni lazima avae kimini ndio atajiona amevaa

Yaani ukikaa hapo kama mwanaume ni lazima utachans chipi kwa kudindisha maana wanawake hatujisitiri tuwapo hapo m cty cijui kwa nn

Umarekani mwingiiii
 
Hhhh hapo mlimani city wadada wengi huwa wanatoka katikati ya jiji hahaha
Kila mwanamke akiingia hapo ni lazima avae kimini ndio atajiona amevaa

Yaani ukikaa hapo kama mwanaume ni lazima utachans chipi kwa kudindisha maana wanawake hatujisitiri tuwapo hapo m cty cijui kwa nn

Umarekani mwingiiii

Acheni wajinafas akirudi kwake ataendelea
Na natumizi ya kawaida ugali matembele sio kwa kupenda bali uchum mbovu
 
Hhhh hapo mlimani city wadada wengi huwa wanatoka katikati ya jiji hahaha
Kila mwanamke akiingia hapo ni lazima avae kimini ndio atajiona amevaa

Yaani ukikaa hapo kama mwanaume ni lazima utachans chipi kwa kudindisha maana wanawake hatujisitiri tuwapo hapo m cty cijui kwa nn

Umarekani mwingiiii
Na lugha hubadilika kabisa, ni mwendo wa kingereza..hahaha
 
Wacha tu raia wawe happy wakivaa matambara na kuhuzunika kila siku haisaidii pia.

A bomb can drop today and all we have can just fade away....tuendelee TU kufurahia life no matter the situation we in.

Hakuna kitu kinanihuzuhisha kama watu wakikata tamaa kwasababu ya hali zao.
 
Ungeambatanisha na picha ingekuwa vizuri, maana kuna wengine hatujawahi kufika Mlimani City.
upload_2016-12-29_18-56-21.png
 
mkuu mi naingiaga tu ila naogopa hata kununua vitu ase sijawahi natmbeaga tu na kufanya huduma zngne kam za kibenki...vp maji na vinywaji kam soda na ice cream ni shngap??
 
Hakuna kitu kinacholeta umasikin kama kupenda sifa. Utamkuta mtu anakopa mamikion saccoss,vyama vyama ya kusaidiana ili tu ashindane na mtu au majirani kuonekana wa juu kifedha hapo shopping zake ataenda mliman city kujikweza zaidi.
 
  • Thanks
Reactions: Dyf
Maisha yakufirika;!nikujifunika uzungu kwa mda then unarud kwa Mtogole!!!alie tuloga alaniwee!!
 
Moja ya sababu ambayo huwa inanipeleka Mlimani City ukiacha kwenda kununua baadhi ya vitu ambavyo madukani ni ghali zaidi kama Maji na vitu vidogo vidogo ni kwenda kupoteza mawazo kidogo kama kushangaa Watanzania wengi wanavyoigiza maisha yao. Lakini inafariji sana kwa muda mfupi. Pale Mlimani City, huwezi kumjua wa Temeke, Gongolamboto au Manzese Uswahilini kabisa. Wote utadhani wanakaa Masaki, Mikocheni au karibia wote kabisa ukiwatazama walivyovaa, wanavyotembea utadhani Taifa hili liko katika Uchumi wa Juu kabisa au kama si wa juu liko katika Uchumi wa Kati. Kumbe ni Usasa tu uliopo Mlimani City (Modernization) na si vinginevyo. Mnajua wale mliosoma nadharia ya Usasa (Modernization Theory). Mmmmmmh!!! Ahsante Mlimani City.

Ahsante sana kwa kuwa na Mlimani City, naomba watengeneze sehemu nyingi zaidi ili shida zetu tukazipoze hapo.


Globalization is a real discourse.
hujatembea wewe

pole
 
Back
Top Bottom