sylivesteralmas
New Member
- Mar 4, 2019
- 2
- 1
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kunijalia uzima ambayo ni zawadi kubwa huku nikitumai kuwa hata wewe u mzima wa afya, pia nikushukuru wewe kwa kufanya kosa hili la kusoma thread hii kwani ukizingatia nakufanya, mafanikio ni yako.
Leo ningependa nikufundishe njia rahisi kabisa ya kufanikiwa katika unalo hitaji, haijalishi unataka uwe mwanasiasa mkubwa, msanii mkubwa. Photographer, mtangazaji, mwanasoka mkubwa na pengine unatamani kuwa tajiri mkubwa. Njia hii inaitwa " Tafuta alie fanikiwa kisha jaribu kufanya vitu vilivyo mpelekea afanikiwe "
Mfano 1: Unataka uwe Kama millardayo, Chunguza nini kinachofanya apige hatua zaidi katika kazi yake, mfano, anautumiaje muda, anaongeaje na watu, alianzaje na vitu vingine vingi utakavyoona vinakufaa.
Mfano 2: Unataka uwe tajiri, tafuta tajiri yoyote , fatilia kwa undani ,jinsi alivyo anza, ratiba yake kwa siku, mtazamo wake juu ya fursa na kazi, anahusiana vipi na watu na vingine vingi.
Mfano 3: Unataka uwe mwanasoka mkubwa, tafuta mwanasoka unaempenda na jaribu kufatilia alifanyaje na anafanyeje.
Nimatumaini yangu kuwa umepata kitu fulani cha kukusaidia ila kikubwa ni kutendea kazi, yaani " Information without execution is poverty "
GeItaGoLd blog. Soon karibu yako kukuelimisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo ningependa nikufundishe njia rahisi kabisa ya kufanikiwa katika unalo hitaji, haijalishi unataka uwe mwanasiasa mkubwa, msanii mkubwa. Photographer, mtangazaji, mwanasoka mkubwa na pengine unatamani kuwa tajiri mkubwa. Njia hii inaitwa " Tafuta alie fanikiwa kisha jaribu kufanya vitu vilivyo mpelekea afanikiwe "
Mfano 1: Unataka uwe Kama millardayo, Chunguza nini kinachofanya apige hatua zaidi katika kazi yake, mfano, anautumiaje muda, anaongeaje na watu, alianzaje na vitu vingine vingi utakavyoona vinakufaa.
Mfano 2: Unataka uwe tajiri, tafuta tajiri yoyote , fatilia kwa undani ,jinsi alivyo anza, ratiba yake kwa siku, mtazamo wake juu ya fursa na kazi, anahusiana vipi na watu na vingine vingi.
Mfano 3: Unataka uwe mwanasoka mkubwa, tafuta mwanasoka unaempenda na jaribu kufatilia alifanyaje na anafanyeje.
Nimatumaini yangu kuwa umepata kitu fulani cha kukusaidia ila kikubwa ni kutendea kazi, yaani " Information without execution is poverty "
GeItaGoLd blog. Soon karibu yako kukuelimisha.
Sent using Jamii Forums mobile app