Ukifanikiwa kimaisha kidogo, utazijua roho mbaya za watanzania

Glenn

JF-Expert Member
May 23, 2015
65,797
156,922
Habari za wakati huu waungwana.
Leo natamani kuwashirikisha jambo ambalo limekuwa likinitatiza kwa muda mrefu katika jamii yetu ya Kitanzania zaidi kuliko mataifa mengine.
Mara nyingi nimepata kusikia maneno mabaya hasa yakiwatuhumu watu wenye mafanikio au wenye mwelekeo wa kufanikiwa au kufikia ndoto zao.

Kwa mfano;
1. Utakuta mtu alikuwa mfanyabiashara
mdogo, ukafika wakati akakuza mtaji
akawa na biashara kubwa na kufikia
hatua ya kujitanua kibiashara au hata
kuanza kwenda nje ya nchi kununua
bidhaa na kuleta nchini.
ndipo maneno huanza..ooh huyu sio
mtu mzuri, mchawi au free m.

2. Au mwajiriwa akianza kufanikiwa tu
utaanza kusikia anatumia ndumba
au hana lolote ni mikopo tu.

3. Wana muziki na kada zingine hawa
jaachwa salama nao wametuhumiwa
kwa mambo kibao.

4. wanasiasa wakipata uteuzi hasa wana
wake...mnajua tuhuma zao pia.

Nimejaribu sana kufanya utafiti wa hizi tuhuma na
mwisho wa siku nimejiridhisha kwa 80%
pasi na shaka kuwa ujinga, umasikini na roho mbaya za kuhalalisha umasikini ndizo chanzo.
Tafsri yake ni kuwa hao waliofanikiwa si chochote sababu sio juhudi binafsi.
Tubadilike, wanapofanikiwa wenzetu iwe ni chachu kwetu ili kufikia hatua waliofikia.

muwe na wakati mwema wote.
 
Habari za wakati huu waungwana.
Leo natamani kuwashirikisha jambo ambalo limekuwa likinitatiza kwa muda mrefu katika jamii yetu ya Kitanzania zaidi kuliko mataifa mengine.
Mara nyingi nimepata kusikia maneno mabaya hasa yakiwatuhumu watu wenye mafanikio au wenye mwelekeo wa kufanikiwa au kufikia ndoto zao.

Kwa mfano;
1. Utakuta mtu alikuwa mfanyabiashara
mdogo, ukafika wakati akakuza mtaji
akawa na biashara kubwa na kufikia
hatua ya kujitanua kibiashara au hata
kuanza kwenda nje ya nchi kununua
bidhaa na kuleta nchini.
ndipo maneno huanza..ooh huyu sio
mtu mzuri, mchawi au free m.

2. Au mwajiriwa akianza kufanikiwa tu
utaanza kusikia anatumia ndumba
au hana lolote ni mikopo tu.

3. Wana muziki na kada zingine hawa
jaachwa salama nao wametuhumiwa
kwa mambo kibao.

4. wanasiasa wakipata uteuzi hasa wana
wake...mnajua tuhuma zao pia.

Nimejaribu sana kufanya utafiti wa hizi tuhuma na
mwisho wa siku nimejiridhisha kwa 80%
pasi na shaka kuwa ujinga, umasikini na roho mbaya za kuhalalisha umasikini ndizo chanzo.
Tafsri yake ni kuwa hao waliofanikiwa si chochote sababu sio juhudi binafsi.
Tubadilike, wanapofanikiwa wenzetu iwe ni chachu kwetu ili kufikia hatua waliofikia.

muwe na wakati mwema wote.
Mkuu utafiti wako ni utafiti uchwara kwa sababu umeegemea upande mmoja tu.

Kwamba kwako mafanikio yoyote ni halali na walio kinyume na mafanikio hayo ni watu wenye husda!

Hivi mafisadi wote waliohujumu taifa hili na kulirudisha nyuma kimaendeleo unataka jamii ione fahari juu yao na iwafurahie hao mumiani?

Wanaopata fedha kwa njia ya uporaji kwa njia ya ujambazi na umwagaji damu nao waungwe mkono?

Matapeli kwa ujumla wao wakiishafanikiwa, kwako ni lazima waungwe mkono kwa kuwa wametoka kimaisha?

Ungeliona clip ya mh. Lugola jinsi alivyowatepetesha jamaa wa NIDA mbele ya waandishi wa habari, wala usingeileta mada yako hii kuijadili hapa.

Mkuu, husda kwa mtu anayechuma kihalali kweli ni dhambi.
Lakini kupata mali kwa njia za haramu ni dhambi pia, tena ni dhambi mbaya.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za wakati huu waungwana.
Leo natamani kuwashirikisha jambo ambalo limekuwa likinitatiza kwa muda mrefu katika jamii yetu ya Kitanzania zaidi kuliko mataifa mengine.
Mara nyingi nimepata kusikia maneno mabaya hasa yakiwatuhumu watu wenye mafanikio au wenye mwelekeo wa kufanikiwa au kufikia ndoto zao.

Kwa mfano;
1. Utakuta mtu alikuwa mfanyabiashara
mdogo, ukafika wakati akakuza mtaji
akawa na biashara kubwa na kufikia
hatua ya kujitanua kibiashara au hata
kuanza kwenda nje ya nchi kununua
bidhaa na kuleta nchini.
ndipo maneno huanza..ooh huyu sio
mtu mzuri, mchawi au free m.

2. Au mwajiriwa akianza kufanikiwa tu
utaanza kusikia anatumia ndumba
au hana lolote ni mikopo tu.

3. Wana muziki na kada zingine hawa
jaachwa salama nao wametuhumiwa
kwa mambo kibao.

4. wanasiasa wakipata uteuzi hasa wana
wake...mnajua tuhuma zao pia.

Nimejaribu sana kufanya utafiti wa hizi tuhuma na
mwisho wa siku nimejiridhisha kwa 80%
pasi na shaka kuwa ujinga, umasikini na roho mbaya za kuhalalisha umasikini ndizo chanzo.
Tafsri yake ni kuwa hao waliofanikiwa si chochote sababu sio juhudi binafsi.
Tubadilike, wanapofanikiwa wenzetu iwe ni chachu kwetu ili kufikia hatua waliofikia.

muwe na wakati mwema wote.
8pJp

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom