Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Tukumbushane kwa hili.
Ukielimika aidha kwa kujiongoza mwenyewe au kwa kuongozwa na mtu basi utapata maarifa.
Maarifa huzaa amani, ujuzi, fikra fikirishi na huepuka maangamizo ya kuonekana au kutoonekana kwa mambo maovu kwa yajao au kwa yaliyokwisha kutokea.
Msisitize rafiki, ndugu, jamaa, familia au mwanao kuwa elimu sio tu ni taa ya maisha bali elimu ndio nuru iletayo mwanga duniani.
"Apendaye mafundisho, hupenda maarifa."
Kataa kuwa mtumwa.
Ukielimika aidha kwa kujiongoza mwenyewe au kwa kuongozwa na mtu basi utapata maarifa.
Maarifa huzaa amani, ujuzi, fikra fikirishi na huepuka maangamizo ya kuonekana au kutoonekana kwa mambo maovu kwa yajao au kwa yaliyokwisha kutokea.
Msisitize rafiki, ndugu, jamaa, familia au mwanao kuwa elimu sio tu ni taa ya maisha bali elimu ndio nuru iletayo mwanga duniani.
"Apendaye mafundisho, hupenda maarifa."
Kataa kuwa mtumwa.