Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,271
- 5,892
Mie pamoja na kuwasha hazard nikashuka nikavuka barabara nikaenda ubalozi wa Japan kukabidhi documents getini, narudi nakuta wamezunguka gari.Ukiwasha hazard hawatakiwi kukuletea zengwe!
Wanadai dereva akishuka akaacha gari hata kama kawasha hazard inahesabika amepaki.
Q*uma wale walikula 60,000 yangu maana ilibaki hatua chache waniingize kwenye yard yao kule Kurasini.