Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
- Thread starter
- #21
Akhsante kwa ufafanuziMdaiwa huwa hafungwi iwapo atakiri deni na kuhaidi kulipa taratibu. Ila ukikana kudaiwa na anaekudai akaonyesha ushahidi wa wewe kudaiwa kweli Mahakama ikithibitisha - Itagundua umefanya kosa la kusema uongo. Hakimu anaweza kutoa hukumu na ukitoka Jela lazima ulipe Deni la watu.