William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
- Thread starter
- #61
Yanga Haina wachezaji wa gharama. NI duni kabisa. Wachezaji wengi imewaviziA wakiwa wamemaliza mikataba. Hajavunja kabati kabisa kuleta wachezaji . Au anachukua kwa mkopo.Manji kasaidia yanga wap unafikir manji anaweza sasaiv Aman ilikua usajili mkubwa Milion 70 mpaka 90 na mshahara wa m5 uyo ndio mchezaji mkubwa na league haikua ngum kama Sasa mchezaji usajili unafika mpaka Milion Mia 5 uyo manji unafikir angeweza embu tutajie mchezaji Mmoj alie sajiliwa na manji anaweza kupata namba kwenye yanga hii