Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Kuna imani flani imejengeka kwa vijana wenye umri kuanzia 25-35 kwamba mwanaume umri wowote anaweza kuoa hata akichelewa hamna shida ataoa it's true kuoa mwanaume lakini kupata mwanamke wa ndoto yake ni ngumu sana
1. At the Age of 40 Kama atapata mwanamke mwenye umri kuanzia 29 hadi 39 hapo lazima apate singo mazaa
2. At the Age of 40 Kama atapata mwanamke mwenye Age kuanzia 24-28 bado wana akili za kula ujana hawa wengi watakupendea pesa zako alafu wanaliwa na vijana wenzao maana wee wanakuona ushakuwa babu mzee
3. Ukipata mwanamke mwenye Age kuanzia 18-24 hawa wengi bado wana childhood age hivyo ukiwa nae kimawazo hamuwezi kufanana maana yee utoto mwingi bado ana akili ya kushinda kwenye vigodoro
4. At this Age of 40 Kama maisha yatakuwa yamekupiga chenga hata ukipata mwanamke mwenye Age of 28-35 ambaye hana mtoto atakula vihela vyako kisha atakukimbia kwa sababu huna maisha
5. At the Age of 40 Kama utabahatika kupendwa na mwanamke basi huyo mwanamke ni Aina ya wale wanawake ambao walikuwa wanajiuza sasa amechoka anafuta kijana mzee wa kumweka ndani
6. At the Age 40 ukiamua kutafuta mke mtandaoni baada ya umri kwenda utaishia kuwatumia hela ya nauli wadada wa mitandaoni na kukimbiwa na wadada
Finally vijana wenzangu kama una binti unapenda naye funga naye ndoa tuu wakati ndo huu ukichelewa chelewa huku mbeleni kuna complications kumpata mwanamke wa ndoto yako au utayeendana naye
1. At the Age of 40 Kama atapata mwanamke mwenye umri kuanzia 29 hadi 39 hapo lazima apate singo mazaa
2. At the Age of 40 Kama atapata mwanamke mwenye Age kuanzia 24-28 bado wana akili za kula ujana hawa wengi watakupendea pesa zako alafu wanaliwa na vijana wenzao maana wee wanakuona ushakuwa babu mzee
3. Ukipata mwanamke mwenye Age kuanzia 18-24 hawa wengi bado wana childhood age hivyo ukiwa nae kimawazo hamuwezi kufanana maana yee utoto mwingi bado ana akili ya kushinda kwenye vigodoro
4. At this Age of 40 Kama maisha yatakuwa yamekupiga chenga hata ukipata mwanamke mwenye Age of 28-35 ambaye hana mtoto atakula vihela vyako kisha atakukimbia kwa sababu huna maisha
5. At the Age of 40 Kama utabahatika kupendwa na mwanamke basi huyo mwanamke ni Aina ya wale wanawake ambao walikuwa wanajiuza sasa amechoka anafuta kijana mzee wa kumweka ndani
6. At the Age 40 ukiamua kutafuta mke mtandaoni baada ya umri kwenda utaishia kuwatumia hela ya nauli wadada wa mitandaoni na kukimbiwa na wadada
Finally vijana wenzangu kama una binti unapenda naye funga naye ndoa tuu wakati ndo huu ukichelewa chelewa huku mbeleni kuna complications kumpata mwanamke wa ndoto yako au utayeendana naye