Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Nimewiwa kusema nahisi viongozi wa tff ni wendawazimu wote ama wamechanganyikiwa kabisa
hivi karibuni kulitokea matatizo kwenye uchaguzi wa drfa mchakato wake ikafikia kamati ya uchaguzi ikiongozwa na huyu mhuni muhidin ndolanga wakamafukuza....wakavunja kamati
sasa jana tena wamemwondoa kwenye kamati ya uchaguzi wa frat chama cha waamuzi...kisa
jamaa ameambiwa uchaguzi umehairishwa kaamua kulazimisha kwenda kulikotakiwa kufika dom akaamabiwa mbona uchaguzi umehairishwa akakomaa hivyo hivyo ati uchaguzi upo na utafanyika mi ndie ndolanga bana rais wa heshima wa milele tff.......
Usiku tff wanatangaza kutokana na kutofwata sheria za tff wameamua kumuondoa kwenye kamati ya frat..nahisi tatizo utaliona sio tu ndolanga limeanzia kwa viongozi wa tff ndio maana nauliza tenga na wenzake wamechanganyikiwa...??uncle mbona mnakuwa hivi jaman na huk nyuma amkuwa hivyo...
Iweje mtu anaharibu drfa mnamwachia kwenda kuharibusehemu nyingine jamani??ama kuna umate umate ambao akisimamia na wewe tenga unagaiwa huko ndani matokeo yake mungu anawatia aibu..mwaka wa vijana hata mfanyaje ....
Narudia tena kama mlijiaminia na usemi wa mavi yakale ayanuki basi yananuka ukiyatia maji
nahii ndio aibu yenu shame tff shame tenga na wenzake
hivi karibuni kulitokea matatizo kwenye uchaguzi wa drfa mchakato wake ikafikia kamati ya uchaguzi ikiongozwa na huyu mhuni muhidin ndolanga wakamafukuza....wakavunja kamati
sasa jana tena wamemwondoa kwenye kamati ya uchaguzi wa frat chama cha waamuzi...kisa
jamaa ameambiwa uchaguzi umehairishwa kaamua kulazimisha kwenda kulikotakiwa kufika dom akaamabiwa mbona uchaguzi umehairishwa akakomaa hivyo hivyo ati uchaguzi upo na utafanyika mi ndie ndolanga bana rais wa heshima wa milele tff.......
Usiku tff wanatangaza kutokana na kutofwata sheria za tff wameamua kumuondoa kwenye kamati ya frat..nahisi tatizo utaliona sio tu ndolanga limeanzia kwa viongozi wa tff ndio maana nauliza tenga na wenzake wamechanganyikiwa...??uncle mbona mnakuwa hivi jaman na huk nyuma amkuwa hivyo...
Iweje mtu anaharibu drfa mnamwachia kwenda kuharibusehemu nyingine jamani??ama kuna umate umate ambao akisimamia na wewe tenga unagaiwa huko ndani matokeo yake mungu anawatia aibu..mwaka wa vijana hata mfanyaje ....
Narudia tena kama mlijiaminia na usemi wa mavi yakale ayanuki basi yananuka ukiyatia maji
nahii ndio aibu yenu shame tff shame tenga na wenzake