Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,095
- 4,059
Katika pitapita zangu nmekuja jua kuwa katika mtu kuna mambo makuu matatu, yaani nafsi, akili na mwili.
Nafsi ndio mtu mwenye kwa maana yu hai hata ukitoka mwili(kufa).
Leo nataka mwenye kujua anijuze; Ni ipi nafasi ya nafsi kwa kichaa katika maisha yake, baada ya akili kwenda mrama. Ni kweli kichaa ni akili au nafsi?.
Pia naomba kujua kichaa usingizini huota akiwa safi au huwa katika ukichaa uleule? Vipi akifa atabakia kuwa kichaa katika ulimwengu wa giza?.
Wajuvi wa mambo haya karibuni.
Nafsi ndio mtu mwenye kwa maana yu hai hata ukitoka mwili(kufa).
Leo nataka mwenye kujua anijuze; Ni ipi nafasi ya nafsi kwa kichaa katika maisha yake, baada ya akili kwenda mrama. Ni kweli kichaa ni akili au nafsi?.
Pia naomba kujua kichaa usingizini huota akiwa safi au huwa katika ukichaa uleule? Vipi akifa atabakia kuwa kichaa katika ulimwengu wa giza?.
Wajuvi wa mambo haya karibuni.