Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata namshukuru MunguHizi smartphone kiukweli zinaua kwa kasi mahusiano na ndoa nyingi zimefikia tamati kisa simu hasa smartphone. Watu waliopotezana wanakutanishwa kiurahisi mno
Cjakuelewa kiutu uzima ebu tupe maujuziHata namshukuru Mungu
Kwa aliyegundua smartphone wengine
Mume tunataka atoke humuhumu Jf,sasa bila smartphone unazani ingewezekana kweli
Alafu ogopa sana wasio tumia smartphone.........
Najua ushanielewa kiutu uzima.
Kikubwa ni kupachika mimba na kuamsha unasubiri kuletewa mtoto tu.. Mambo ya smartphone waachie
Hakika wala tusingekaa tujue kama kuna emoj iliyoko kwenye avatar yako.Teh teh teeeeeh!!
Aliegundua smartphone abarikiwe sana.
Hao wanaongoza kwa kuwa na michepuko na visimu vya batani ukikapunguza mwangaCjakuelewa kiutu uzima ebu tupe maujuzi
Nimempenda bure.Alhamdullilah wa kwangu hajawah kumiliki toka ziingie duniani, anaishia ninunulia miye na kuniwekea bundle, yeye ni mwendo wa simu za torch.
Haka ka mbinu mujarabu nakapenda sanaKikubwa ni kupachika mimba na kuamsha unasubiri kuletewa mtoto tu.. Mambo ya smartphone waachie
Ok nmekuelewaHao wanaongoza kwa kuwa na michepuko na visimu vya batani ukikapunguza mwanga
Ukaweka silent mfukoni aaaa tofauti na smart lazima ushtukiwe upo home simu kubwaaa mfukoni vipi
Kazuri sanaHaka ka mbinu mujarabu nakapenda sana
Hizi smartphone kiukweli zinaua kwa kasi mahusiano na ndoa nyingi zimefikia tamati kisa simu hasa smartphone. Watu waliopotezana wanakutanishwa kiurahisi mno
Hizi smartphone kiukweli zinaua kwa kasi mahusiano na ndoa nyingi zimefikia tamati kisa simu hasa smartphone. Watu waliopotezana wanakutanishwa kiurahisi mno