BABU KIDUDE
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,588
- 904
Nitamuliiza anajaua kuna kufa???
- Kikosi chake cha usalama barabarani kimekithiri kwa rushwa na yeye hayupo tayari kuamini hilo kwakuwa siyo mhanga wa mambo yanayotokea barabarani
- Kitengo cha cyber crime na hasa kwa simu za wanaoibiwa na kufikisha taarifa police, hakuna msaada wowote, zaidi ya kuzungushwa makoridoni na kuombwa rushwa kwa kisingizio cha uchunguzi kutokamilika
Naam, ni ngumu kubwabwaja hapa wakati member mwenyewe hata haujawa verified JF. Tutaeleza mambo hapa weee lakini itakua ni kupoteza muda tu, tunataka mhusika!Hata nikiwa Magufuli utajuaje?
Poa mkuuShukrani sana Mkuu.