GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Pengine haya mambo huwa hayamfikii Inspekta Jenerali wa Jeshi la
Polisi lakini kiukweli kumekuwa na chuki kubwa sana ya wananchi kwa
Jeshi hilo.
Siku ukibahatika kukutana na Mkuu huyo Utamweleza au kumshauri
nini kuhusu Jeshi la Polisi kwa kuzingatia eneo ulilopo na mengine
unayoyafahamu kwa Ujumla?
Je! Kuna afisa yeyote wa Jeshi la polisi au Polisi wa kawaida ambaye
amekuwa anafanya mambo kinyume na utaratibu na umeamua kumfikishia IGP?
Wakuu hebu tufunguke pengine Mkuu huyo anaweza kupita huku baadhi ya
mambo yakakaa sawa.
Polisi lakini kiukweli kumekuwa na chuki kubwa sana ya wananchi kwa
Jeshi hilo.
Siku ukibahatika kukutana na Mkuu huyo Utamweleza au kumshauri
nini kuhusu Jeshi la Polisi kwa kuzingatia eneo ulilopo na mengine
unayoyafahamu kwa Ujumla?
Je! Kuna afisa yeyote wa Jeshi la polisi au Polisi wa kawaida ambaye
amekuwa anafanya mambo kinyume na utaratibu na umeamua kumfikishia IGP?
Wakuu hebu tufunguke pengine Mkuu huyo anaweza kupita huku baadhi ya
mambo yakakaa sawa.