afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Dah!! Sijui iko wapi ila na mimi najitahidi kuitafuta lakini najua bado haijapelekwa kule kwenye lile jukwaa
ahhh ok
na mama mwenye nyumba ndo simwonagi kabisa siku hizi...
ndo kashafunga harusi na BE nini ..
halafi sisi ndo tumeachwa gizani..lol