Ukiangalia wenzetu Majaji Mahakamani wanavyopatikana ni tofauti kabisa na wanavyopatikana Makatibu Wakuu

NewPage

JF-Expert Member
Mar 22, 2021
1,281
2,020
Mahakamani ambao huwa Majaji asilimia kubwa ni Mahakimu.

Kwenye Mawizara kuna watendaji wazuri tu katika nafasi za ukurugenzi n.k lakini zoezi la kuwapandisha hadhi kuwa Makatibu Wakuu au Manaibu Makatibu Wakuu linawapita pembeni sana wakati hawa watu ndiyo wanakuwa wanazijua Ofisi hizo vizuri sana.

Imagine Katibu Mkuu anayeletwa kutoka Chuo Kikuu ambapo miaka yote alikuwa analecture tu.

Watumishi wa Mawizarani wameiokosea nini Ikulu?
 
Hakuna kitu kibaya kufanya uteuzi wa nafasi ya utumishi wa umma toka private sector. Utumishi wa umma una changamoto zake na muundo wake. Kimsingi vetting ifanyike kwa kuangalia sifa stahiki ndani ya utumishi wa umma na sio vinginevyo. Kuna tuhuma watu wa vetting wengine wanahongwa ili kupenyeza majina.
 
Tukitaka mabadiliko na kuongeza ufanisi lazima tuchanganye watu wa Sector binafsi na wa Umma.

Wote ni wa Tz na wana haki sawa lakin kubwa zaid watu waliokulia kwny Sector za Umma huwa wamewekeza akili zao kwny urasimu na sheria zaid na sio Watendaji.

Sector binafsi watu huwa wapo faster na ni watu wa matokeo sio utaratibu tu na kusomeana sheria na kanuni, haya mambo ya kusomeana sheria na kanuni ndio yameua mashirika ya Umma.

Unachukua ndege ya watu 100 unaipeleka Katavi ili tu ulete usawa wakati ndege inaenda na kurudi robo tatu ya viti havina abiria, ukihoji unaambiwa taratibu za kuzindua route hiyo ya Katavi zimefuatwa ikiwa ni pamoja na bodi imeridhia, Katibu Mkuu kabariki dokezo hilo na blaaa blaaa za kunukuu kifungo 'CHE' kwa sana.

unadhan Fast jet au Precision wanaweza kufanya uzembe huo, Shirika la Ndege linaendeshwa kwa hasara lakin lina wakurugenzi mavi kama 10 hivi na kila Mkurugenzi ana Secretary na dereva halaf mnaota Efficiency.

Dr Hussein Mwinyi kaanza kuiga style ya Jk kumchukua mtu popote cha msingi awe na uwezo, ameanza na Bandari ya Znz kamchukua mtu wa private na mabadiliko yameanza kuonekana.
Hakuna kitu kibaya kufanya uteuzi wa nafasi ya utumishi wa umma toka private sector.Utumishi wa umma una changamoto zake na muundo wake.Kimsingi vetting ifanyike kwa kuangalia sifa stahiki ndani ya utumishi wa umma na sio vinginevyo.kuna tuhuma watu wa vetting wengine wanahongwa ili kupenyeza majina
 
Tukitaka mabadiliko na kuongeza ufanisi lazima tuchanganye watu wa Sector binafsi na wa Umma

Wote ni wa Tz na wana haki sawa lakin kubwa zaid watu waliokulia kwny Sector za Umma huwa wamewekeza akili zao kwny urasimu na sheria zaid na sio Watendaji.

Sector binafsi watu huwa wapo faster na ni watu wa matokeo sio utaratibu tu na kusomeana sheria na kanuni, haya mambo ya kusomeana sheria na kanuni ndio yameua mashirika ya Umma

Unachukua ndege ya watu 100 unaipeleka Katavi ili tu ulete usawa wakati ndege inaenda na kurudi robo tatu ya viti havina abiria, unadhan Fast jet au Precision wanaweza kufanya uzembe huo, Shirika la Ndege linaendeshwa kwa hasara lakin lina wakurugenzi mavi kama 10 hivi na kila Mkurugenzi ana Secretary na dereva halaf mnaota Efficiency,

Dr Hussein Mwinyi kaanza kuiga style ya Jk kumchukua mtu popote cha msingi awe na uwezo, ameanza na Bandari ya Znz kamchukua mtu wa private na mabadiliko yameanza kuonekana
Ukiamua huwa unatoa ponti nzuri sana..Siku ukiamua...... 👍 👍
 
Tukitaka mabadiliko na kuongeza ufanisi lazima tuchanganye watu wa Sector binafsi na wa Umma

Wote ni wa Tz na wana haki sawa lakin kubwa zaid watu waliokulia kwny Sector za Umma huwa wamewekeza akili zao kwny urasimu na sheria zaid na sio Watendaji.

Sector binafsi watu huwa wapo faster na ni watu wa matokeo sio utaratibu tu na kusomeana sheria na kanuni, haya mambo ya kusomeana sheria na kanuni ndio yameua mashirika ya Umma

Unachukua ndege ya watu 100 unaipeleka Katavi ili tu ulete usawa wakati ndege inaenda na kurudi robo tatu ya viti havina abiria, unadhan Fast jet au Precision wanaweza kufanya uzembe huo, Shirika la Ndege linaendeshwa kwa hasara lakin lina wakurugenzi mavi kama 10 hivi na kila Mkurugenzi ana Secretary na dereva halaf mnaota Efficiency,

Dr Hussein Mwinyi kaanza kuiga style ya Jk kumchukua mtu popote cha msingi awe na uwezo, ameanza na Bandari ya Znz kamchukua mtu wa private na mabadiliko yameanza kuonekana
Umeongea point sana mkuu, kongole
 
Pohamba

kiutaratibu na kiutumishi,inaruhusiwa kumteua mtu toka private sector afanye kazi kama ded wa halmashauri au katibu mkuu wa wizara?

Na pia kwa lengo la kuongeza ufanisi wizarani,je kipi kipo sahihi,kuleta ded au katibu toka mbali ya eneo la kazi afanye kazi au kuteua seniors katika ya wale wa asili ya eneo la kazi iwe halmshauri au eneo la inapopatikana wizara?
 
Kazi ya DED au Katibu Mkuu ni kazi ya uteuzi na haina restriction kuwa lazima awe mtumish wa Umma

Kwenye Masuala ya Management kuna kitu kinaitwa 'Diversity' yaan kwny eneo la Ofisi usikusanye watu wenye mtazamo wa aina moja ,ukichanganya kwa busara basi ile chemistry huleta matokeo chanya sana kwa kuwa hata kwny Maamuzi wapo watakao base kwny kusoma vifungu be na che na wengine wataangalia hayo maamuzi yana impact gani na hapo ndio Efficincy inazaliwa i.e Watu wengi wa Private ni Risk Takers wakati wale watumishi wa Umma kila wanachofanya wanaangalia kipo kwny budget?kipo kwny Mpango kazi, Au Auditor hatopiga hoja? Si zaid ya hapo

Unamchukua Afisa Mipango mufindi aliehudumu ofisi hiyo kwa miaka 25 eneo hilo hilo tangu katoka shule, unadhan kwa kum promote kuwa DED ataleta jambo gani jipya la manufaa wakati kama matatizo ya Mufindi yeye ni sehemu ya 'Architecture' wa matatizo hayo

Angalia hata level ya Jamii, jamii zilizojizuia kujichanganya zimebaki nyuma sana

Kwa Statistics za United State of America za 2020, asilimia 26 ya Wamarekan ni Wahamiaji, unajua positive impact ya kukaribisha jamii ya Wahamiaji?
Pohamba

kiutaratibu na kiutumishi,inaruhusiwa kumteua mtu toka private sector afanye kazi kama ded wa halmashauri au katibu mkuu wa wizara?

Na pia kwa lengo la kuongeza ufanisi wizarani,je kipi kipo sahihi,kuleta ded au katibu toka mbali ya eneo la kazi afanye kazi au kuteua seniors katika ya wale wa asili ya eneo la kazi iwe halmshauri au eneo la inapopatikana wizara?
 
Back
Top Bottom