CaptainDunga
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 1,567
- 1,375
Nipe nafasi niwe nakuliwaza....
HahahahaWe huwa ni lijinga hizo nguvu ukalimie au
Nimechoka kupika.nakula sana sio siri
kwa hiyo tuongeze mke mwengine kwa ajili ya kupika au ?Nimechoka kupika.
Kwani mke mwenza hapiki?kwa hiyo tuongeze mke mwengine kwa ajili ya kupika au ?
yalionikuta huko hata hayaelezeki bora nibaki kwako tuKwani mke mwenza hapiki?
yalionikuta huko hata hayaelezeki bora nibaki kwako tu
we niahidi kama utatuliaNilikwambia baki na mimi ukakataa, si unaona huwa unahangaikaa mwisho unarudi kwangu tu!! Haya oa na huyo mwingine tuone.
Mbona mimi shatulia kitambo baby.we niahidi kama utatulia
nami nitatulia tuli
sitaona mwengine