kasanga70
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 212
- 489
Ukitaka kujua kuwa kuna sheria ambazo devil yuko behind hizo sheria kutana na watu kama PSSSF waliokuwa pspf na ppf kama uliacha kazi au uliachishwa!
Imagine five years taasisi zote hizo hazioni michango yoyote toka kwa mwanachama regardless aliacha au aliachishwa kazi jibu lao rahisi tuu as if unawaomba msaada! Wanakwambia subiri miaka 55! Ukiuliza kwanini eti SHERIA!!!!! As if imetoka mbinguni! Yaani Hela wamekukata weee ktk mshahara wako sasa unaambiwa tutakupa miakakumi au ishirini ijayo hata kama huna mpango tena wa kuajiriwa!!!!!
1. Hawajali unahitaji kufanya nn na pesa yako wanachoamini retirement inatengenezwa ukizeeka! Dull thinking!
2. Hawajali unasomesha!
3. Hawakopeshi
4. Jibu pekee watakupa! Ni sheria! Bado hatujapokea maelekezo ya kulipa!
Hii dunia hasa dunia ya tatu inasononesha saana!!
Nawatakia heri ya mwaka mpyaa PSSSF
Imagine five years taasisi zote hizo hazioni michango yoyote toka kwa mwanachama regardless aliacha au aliachishwa kazi jibu lao rahisi tuu as if unawaomba msaada! Wanakwambia subiri miaka 55! Ukiuliza kwanini eti SHERIA!!!!! As if imetoka mbinguni! Yaani Hela wamekukata weee ktk mshahara wako sasa unaambiwa tutakupa miakakumi au ishirini ijayo hata kama huna mpango tena wa kuajiriwa!!!!!
1. Hawajali unahitaji kufanya nn na pesa yako wanachoamini retirement inatengenezwa ukizeeka! Dull thinking!
2. Hawajali unasomesha!
3. Hawakopeshi
4. Jibu pekee watakupa! Ni sheria! Bado hatujapokea maelekezo ya kulipa!
Hii dunia hasa dunia ya tatu inasononesha saana!!
Nawatakia heri ya mwaka mpyaa PSSSF