Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,315
- 33,111
'Mmmmmh,asali ina sukari mkuu lakini sukari haina asali wee hapo unaona kipi bora asee...?'
Ingawa sijui jibu ila MziziMkavu hawawezi toa kitu rahisi hivyo
Wewe ndio umepata jibu langu Hongera Asali ni Dawa sukari inaleta Maradhi hongera.Kaka mi nimepita tu kwa kuwa sihitaji kijiko kwa sasa, ila ingekuwa kuchagua kati ya sukari na asali basi ningechagua asali
Wewe ndio umepata jibu langu Hongera Asali ni Dawa sukari inaleta Maradhi hongera.
kazi nyingi nipo hebu ukipata nafasi tembelea blog yangu bonyeza hapa Mzizi MkavuHivi umepotelea wapi?
Za siku nyingi?
Namimi nimetembelea mkuu...bora nimeijua itafaa sana..big upkazi nyingi nipo hebu ukipata nafasi tembelea blog yangu bonyeza hapa Mzizi Mkavu
Chemsha bongo yangu ya leo, Utachagua kijiko kipi mdau kwa afya yako kati ya SUKARI iliyo kushoto au ASALI iliyo kulia?
Ninawapima watu zao
Chemsha bongo yangu ya leo, Utachagua kijiko kipi mdau kwa afya yako kati ya SUKARI iliyo kushoto au ASALI iliyo kulia?
Ninawapima watu zao