Ukiambia uchague mmoja je yupi kati ya hawa anafaa kuwa mke wako?

Deadbody

JF-Expert Member
May 30, 2015
4,276
6,583
upload_2017-6-26_1-49-59.png
 
Mshamba mzigo tu utakuja kukuta viatu kwny fridge buree ona mkulu wetu alivomshamba mambo yanaenda Z-A
 
Mke ni sawa na kujenga nyumba.
Unataka kujenga kwa ajili ya matumizi gani, mf: malazi, duka, bucha, nk nk.
Kwa hiyo wote wanafaa kutokana na hitajio la mtu na kwa wakati gani.
Hauna gari, hauna nyumba hauna watoto, chukua herufi B muanze wote.
Ulishajenga ulishazaa na pesa unazo' beba herufi A ili utumie. Maana kula hela bila mwanamke mrembo ni sawa na kula ugali bila kitoweo, haunogi.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom