Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Wengine tumeshaoa!
ohhhhh ata mm mkuu toto A bila kujiulizaA hata cjiulizi mara mbili
Ebanaee! Itendee haki picha ya avatar yako.Mwenye tako
Kwani kuzaa ni kitu gani mkuu!!?? Una umri gani wewe?Hautakaa na amani kama kama hsmuaminiani na haujamzalisha.
Jockate anafaa aisee
Huyu ndio anafaa
Ungeanza wewe
Unamlisha maneno mkuu...ibua kipaji mkuu hata B anaweza akanoga kama A endapo utafanya investment na sio lazima avae kama A lakini kwa swaga zake hizo hizo kama utaamua kukuza kipaji basi B atanoga sanaMkuu kwa haki ya nafsi yako,sema A anafaa. Mwanamke akipambika ni pambo, huongeza muda wa kuishi duniani. Anakukumbusha kwenda hospital kupima magonjwa mbali mbali (kama ni mchepukaji) pasipo hiari