Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,754
Kwanini nasema hivyo?
Binadamu tumeumbiwa udhaifu wa mwili lakini pia tumeumbiwa afya.. Tumeumbiwa utoto, ujana utu uzima na hatimaye kifo.. Huu ndio mustakabali wetu ulio juu ya uwezo wetu kuzuia ama kukinga
Wengine hawaugui wanakufa tu
Wengine hawana udhaifu wowote wanakoma kuwa
Wengine wanapata shida kubwa lakini hatimaye wananusurika kutwaliwa kutoka maisha haya
Wengine hawafi lakini cha mtema kuni wanakiona
Halafu wengine ndio hivyo tena... Unaambiwa tu tayari ameshakuwa Hayati...
Kijana wangu kanusurika kuitwa marehemu... Kaugua sana lakini kapona.. Ilikuwa ni lazima APONE
Ana bima zote za afya
Ana wahudumu bora kabisa
Hapandi daladala wala mwendokasi
Hajichanganyi na wajuba
Hali kwa mama ntilie
Ana dereva wake
Ana wasaidizi wake
If fact list ni ndefu sana ya huduma anazopata kijana wangu..... Hivyo ilikuwa ni lazima apone
Je wako kapona? Usimuige tembo.... Kukata gogo... Lila na fila havichangami..
Jr
Binadamu tumeumbiwa udhaifu wa mwili lakini pia tumeumbiwa afya.. Tumeumbiwa utoto, ujana utu uzima na hatimaye kifo.. Huu ndio mustakabali wetu ulio juu ya uwezo wetu kuzuia ama kukinga
Wengine hawaugui wanakufa tu
Wengine hawana udhaifu wowote wanakoma kuwa
Wengine wanapata shida kubwa lakini hatimaye wananusurika kutwaliwa kutoka maisha haya
Wengine hawafi lakini cha mtema kuni wanakiona
Halafu wengine ndio hivyo tena... Unaambiwa tu tayari ameshakuwa Hayati...
Kijana wangu kanusurika kuitwa marehemu... Kaugua sana lakini kapona.. Ilikuwa ni lazima APONE
Ana bima zote za afya
Ana wahudumu bora kabisa
Hapandi daladala wala mwendokasi
Hajichanganyi na wajuba
Hali kwa mama ntilie
Ana dereva wake
Ana wasaidizi wake
If fact list ni ndefu sana ya huduma anazopata kijana wangu..... Hivyo ilikuwa ni lazima apone
Je wako kapona? Usimuige tembo.... Kukata gogo... Lila na fila havichangami..
Jr