Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Sio wote uliowahi kuwa na uhusiano na wewe ni watu genuine.
Wengine wapo kwa sababu zao wenyewe..
Kwa kua wizi wa Identity umeshamiri..
Nawapa tu reminder especially wale wenye mahusiano na mataifa mengine..kuwa waangalifu..
Kuwa muangalifu nawakumbusha tuu..kitambulisho,number za bank..ni vitu ambavyo unayekua nae asivijue unless ni mumeo/Mkeo..na mkiachana badilisha kila kitu..
Dunia imebadilika
Wengine wapo kwa sababu zao wenyewe..
Kwa kua wizi wa Identity umeshamiri..
Nawapa tu reminder especially wale wenye mahusiano na mataifa mengine..kuwa waangalifu..
Kuwa muangalifu nawakumbusha tuu..kitambulisho,number za bank..ni vitu ambavyo unayekua nae asivijue unless ni mumeo/Mkeo..na mkiachana badilisha kila kitu..
Dunia imebadilika