Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,160
- 1,493
Mheshimiwa Mbowe ni Mwanasiasa mkongwe wa Siasa za Upinzani, hakuna ubisihi kwa sasa anaamini kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Mh. Samia Suluhu Hassan inawapeleka Watanzania kwenye ile nchi ya ahadi yenye Asali na Maziwa.
Mchungaji Msigwa na Mh John Mnyika ni Wapinzani wanaoamini siasa sio kupinga tu au kutukana matusi, mara nyingi Mchungaji Msigwa amekuwa akipongeza Utekelezaji wa miradi ya Maendeleo unaofanywa na Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, japo kila akiongea ukweli na kupongeza amekuwa akiambulia matusi na kubezwa na vijana walioingia Chadema juzi ambao wao Siasa ni kukukana tu.
Ndugu yangu Mchungaji Msigwa, Siasa ni Sayansi, na Kwa sasa Rais Samia Suluhu Hassan ndiye Mwanasayansi bora kabisa wa siasa, ameweza kuwatuliza Wapinzani kisayansi kwa kutekeleza miradi ya Maendeleo kwa kiwango cha juu, Watanzania wamekubali mziki wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Mchungaji Msigwa, Karibu CCM, tuijenge Iringa yetu, njoo tuunge juhudi za Mwanasayans wa Siasa bora kabisa, Chadema sio mama yako wala baba yako, Umetukanwa vya kutosha na watoto wadogo kwa misimamo yako ya kusimamia ukweli .
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mchungaji Msigwa na Mh John Mnyika ni Wapinzani wanaoamini siasa sio kupinga tu au kutukana matusi, mara nyingi Mchungaji Msigwa amekuwa akipongeza Utekelezaji wa miradi ya Maendeleo unaofanywa na Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, japo kila akiongea ukweli na kupongeza amekuwa akiambulia matusi na kubezwa na vijana walioingia Chadema juzi ambao wao Siasa ni kukukana tu.
Ndugu yangu Mchungaji Msigwa, Siasa ni Sayansi, na Kwa sasa Rais Samia Suluhu Hassan ndiye Mwanasayansi bora kabisa wa siasa, ameweza kuwatuliza Wapinzani kisayansi kwa kutekeleza miradi ya Maendeleo kwa kiwango cha juu, Watanzania wamekubali mziki wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Mchungaji Msigwa, Karibu CCM, tuijenge Iringa yetu, njoo tuunge juhudi za Mwanasayans wa Siasa bora kabisa, Chadema sio mama yako wala baba yako, Umetukanwa vya kutosha na watoto wadogo kwa misimamo yako ya kusimamia ukweli .
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania
Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.