Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,109
- 39,284
Nimemsikiliza leo Tundu Lissu katika hotuba yake pale Diamond Jubilee haswa katika kipengele cha kutetea ushindi ghafla likanijia wazo kichwani.
Nikakumbuka Mazingira ya kisisiasa na kieneo alikoibukia Tundu Lissu huko singida.
Singida na Dodoma ndiko iliko ngome kuu ya CCM tangu uhuru. Kanda ya kati ndio kitovu kikuu cha umasikini kwa namna zote na ujinga uliopitiliza
Ghafla nikamtafakari Tundu Lissu aliwezaje kusimamia anachokiamini kiasi cha kuwa mpinzani na kushinda Ubunge kwenye jamii iliyolowea kwenye uCCM kiasi kile?
Licha ya kupewa upinzani mzito na Jakaya Kikwete 2010 huko Singida bado alishinda kupitia upinzani hii haiwezi toa alama ya taa nyekundu kwa CCM kuelekea October?
Kwa mnaojua ukimuondoa Lissu ni Mbunge gani wa upinzani aliyewahi shinda Kanda ya Kati?
Nikakumbuka Mazingira ya kisisiasa na kieneo alikoibukia Tundu Lissu huko singida.
Singida na Dodoma ndiko iliko ngome kuu ya CCM tangu uhuru. Kanda ya kati ndio kitovu kikuu cha umasikini kwa namna zote na ujinga uliopitiliza
Ghafla nikamtafakari Tundu Lissu aliwezaje kusimamia anachokiamini kiasi cha kuwa mpinzani na kushinda Ubunge kwenye jamii iliyolowea kwenye uCCM kiasi kile?
Licha ya kupewa upinzani mzito na Jakaya Kikwete 2010 huko Singida bado alishinda kupitia upinzani hii haiwezi toa alama ya taa nyekundu kwa CCM kuelekea October?
Kwa mnaojua ukimuondoa Lissu ni Mbunge gani wa upinzani aliyewahi shinda Kanda ya Kati?