PUMBANadhani mmeshindwa kumuwelewa mtoa mada kabisa, tuchukulie mfano maji bila maji hipo wazi hakuna mmea utakaoweza kuishi na hivyo ukosefu wa chakula kwa binadamu, lakini maji yanadharisha umeme, maji hayo yanahitajika pia kwa ajili ya kupooza mashine, maji hayo yanahitajika kwenye ujenzi pia, kiasi cha kwamba pasipo na maji vitu vingi vitakwama na hivyo thamani kiasili ni kubwa, tuangalie dhahabau kwenye matumizi uliyotaja.......
Hili mtoa mada hakulihitaji maana kwa kiasi kikubwa ndio dhahabu inapojulikana matumizi yake.
Hapa ndipo mtoa mada anaposema thamani dhahabu ya kutengenezwa kwa maana hata kama haipo bado shughuli za kiuchumi zitaendelea tu, haina tofauti na pesa mnaweza mkawa na mapesa mengi lakini uzalishaji mdogo na hivyo pesa ikawa ni nothing.
bado tupo palepale matumizi kwenye hiyo field hayana umuhimu kiasi dhahabu ikikosekana basi watu wanaougua huo ugonjwa wanaweza wakafa, bado unaendelea kubaki palepale matumizi makubwa ni kwenye mapambo kuliko uthamani wa kwenye maisha.
Matumizi ya dhahabu kwenye maswala ya elektroniki si makubwa na siyo muhimu kiasi cha kuzuia vifaa vya kiilektroniki visitengenezwe, vifaa vya kiielektroniki vingi vinatengenezwa pasipo kuwepo na hiyo dhahabu na vifaa vikafanya kazi. dhahabu kutumika kwenye elektroniki ni kiwango kidogo na vifaa vingine vingi hakuna kabisa.
kiujumla vitu ambavyo umeonyesha vinaweza kufanyika pasipo uwepo wa dhahabu kwa hiyo thamani ni kama watu wameitetngeneza na kufikia makubaliano kwenye mambo mengine hasa hayo ya pesa
ok.PUMBA
La sawa ni lipi kaka kuhusu dhahabu ?Niliwahi kuwa na fikra hizo pia, dhahabu imepewa.thaman hiyo lakini kiuhalisia sio sawa
Usipende sana kusikia..Penda sana kuhakiki habariNasikia dhahabu zinauhusiano na majini
Hivi kaka unapsema "Hili jambo ni la kifalsafa zaidi....."Una maanisha nini ? Hivi hakuna neno mbadala au bora zaidi kuliko hilo falsafa kwalo ungeliweka hapo ?Usipoelewa dhana ya mwandishi utakimbilia kwenye kudhan umesoma na unaelewa kila kitu. Ndo shida kubwa ya binadam wa siku hizi. Wnakimbilia ktk walichokariri.
Hili jambo ni la kifalsafa zaidi na si kukimbilia kuweka mabandiko toka google au kutema ulichomezeshwa. Uthaman wa dhahab kwa kiasi kikubwa umeletwa na binadamu mwenyewe zaidi ya dhahab yenyewe.
Ndiyo maaana kwa mtu ambaye aliishi miaka 100 iliyopita pale mwadui yalipo madini ya dhahabu. Angeikuta dhahabu asingeona kama ni kitu cha thaman mpka alipokuja mzungu kwa sabab yeye alishafaham before uthaman wa dhahabu. Mfano kile kimondo kilichoanguka mboz jijin mbeya yale madin yangepewa uthaman flan leo hii ingekuwa issue sana kuyatafuta.
Na ikitokea mtu akafaham madin ya kile kimondo yanafaa kutengenezea dawa ya kansa ghafla kile kimondo kitaanza kulindwa n.k lakini kwa sasa kwa kuwa hayana thaman kipo tu pale kimejikalia.
Uzuri au uthaman wa kitu hutokana na mahitaji ya mtumiaji au mwenye uhitaji nacho.
Mnapojibu maswali kama haya usiyachukulie kiwepesi tu nenda deep down uangalie zaid na zaidi. Hayo matumizi ya dhahab na dhahab yenyewe kipi kilianza?utagundua ilianza dhahabu kwanza haya matumizi mengine yalikuja kuongezewa. Kabla ya hapo mengine hayakuwepo
Ile ni coating yakeMkuu ni gold au langi ya gold.
pole sana kwa kutojua haya mambo...wanaofuatilia kwanni technolojia inakuwa kwa kias kikubwa huku akili ya mqanadamu inazid kupungua hakika huwez ukaelewa nyuma ya pazia..Wakishindwa kukuelewa na wewe ntasikitika sana na naweza fikia hatua ya kukata tamaa kuishi tanzania kabisa. Maaana umechambua kwa kina hasa na kwa unyambulifu mzuri. Bado utaona kuna watu wanakuja na majibu ya mkato tu na mepesi mepesi.pamoja na wewe kuwafafanulia hivi kwa upole na unyenyekevu.
Nitasikitika sana. Maana hapo mwanzo roho ilianza kuniuma kuwa wa wapi wenye ufaham wa taifa hili waoneshe uthaman huo wa kipekee wa kiasili wa dhahabu. Maana vijana wanakuja na majibu mepese sana. Mpaka kichwa kinauma.
Umedadavua vizuri nikupongeze. Kungekuwa na watu 100 tu JF wenye uelewa kama wako na wangu nakwambia tungeichukua hii nchi tuiongoze kuwa kama ulaya au marekani. Na kusingekuwa na matumizi ya viroba,bangi,madawa ya kulevya n.k mitaani.
Hebu toa maelezo ya kutosha, Tanzania kutokupeleka chombo chochote huko angani kuna uhusiano gani na DhahabuJet engines,rocket engines waya zake zote zinatengenezwa na dhahabu,ndomana miradi ya kurusha vyombo angani ni garama sana...nchi kama tanzania hatuwezi kupeleka satelite angani mpaka labda miaka 1000 ijayo
soma hapo juu....Hebu toa maelezo ya kutosha, Tanzania kutokupeleka chombo chochote huko angani kuna uhusiano gani na Dhahabu
HAKI ELIMU umenikumbusha kamsemoWazo na swali lenye mantiki kubwa. Ninachoweza kuongeza ni kwamba binadamu tunatumia sehemu kibwa ya uchumi/mali (fedha) kwa vitu vinavyombulisha utajiri tulio nao badala ya afya zetu. Vitu hivyo tunavipa thamani kubwa kuliko vinavyoongeza afya au uchumi.
Kwa mfano kilo ya nyama ni ghali kuliko ya mboga za majani. Glass ya mvinyo ni ghali kuliko ya maji. Lakini athari ya nyama au mvinyo kwa afya ya binadamu ni kubwa maradufu.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
sahihi kabisa. ndiyo ilitakiwa itundikwe kwenye milingoti ya tanesco kusafirisha umeme lakini sasa hawa binadamu walivyo waroho wangepanda hukohuko juu kwenye maguzo ya gridi ya taifa kukata nyaya. tanesco wakaona isiwe taabu wakaweka waya za shaba.Nakubaliana na wewe...hasa upatikanaji wake...lakini pia kwenye electronics...dhahabu inatumika kwa sababu ni excellent conductor
Sio kweli kwamba mvinyo ni sumu.Bado swali la msingi kwa nini zitumike gharama nyingi kutengeneza sumu!
Hatuna dhahabu ya kutosha kuunda vyombo hivyoHebu toa maelezo ya kutosha, Tanzania kutokupeleka chombo chochote huko angani kuna uhusiano gani na Dhahabu
Mimetoa mfano mvinyo kuwakilisha pombe kwa ujumlaSio kweli kwamba mvinyo ni sumu.
Hata pombe kwa ujumla sio sumu mkuu sema ikitumiwa kupitiliza ndo inamadhara.Mimetoa mfano mvinyo kuwakilisha pombe kwa ujumla
Ndugu ni kiasi kidogo sana cha gold ambacho hupakazwa kwa surface ya juu ili kuboresha upitivu umeme katika electronic circuits hasa za computer na circuit nyinginezo ambazo mabadiliko ya haraka sana ya upitivu wa umeme yanahitajika.Mkuu ni gold au langi ya gold.