Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,423
- 1,251
Kama kichwa cha habari hapo juu,
Afisa kasoma barua yangu kasema wanaoacha kazi wenyewe hawapewi mafao. watalipwa kwa mjibu wa sheria 55/60 mi saivi 30.
Pesa yenyewe ni 1.5M, jamani hili sahihi.
Afisa kasoma barua yangu kasema wanaoacha kazi wenyewe hawapewi mafao. watalipwa kwa mjibu wa sheria 55/60 mi saivi 30.
Pesa yenyewe ni 1.5M, jamani hili sahihi.