we utakua team lowassa bila shaka...sasa hapo ndo umeandika nnKama kichwa cha habari hapo juu, afisa kasoma barua yangu kasema wanaocha Kazi wenyewe hawapewi mafao . watalipwa kwa Mjibu wa sheria 55/60 mi saivi 30. kudadadekii! Pesa yenyewe ni1.5M..jamani hili sahihi.
Ndugu yangu hilo lisikupe shida kama unahitaji hiyo pesa yako nenda katafute kazi halafu ukishalipwa miezi miwili piga soo then ufukuzwe kazi na utapata mafao yako. sawa? wenzako wengi wamefanya hivo.
Duu mkuu ni mfuko gani huo? Subiri mkuu wa kaya kasema atavunja hiyo mifuko mingine ibaki miwili sasa siajajua utaratibu itakuaje kwa mifuko itakayofutwa.Kama kichwa cha habari hapo juu,
Afisa kasoma barua yangu kasema wanaoacha kazi wenyewe hawapewi mafao. watalipwa kwa mjibu wa sheria 55/60 mi saivi 30.
Pesa yenyewe ni 1.5M, jamani hili sahihi.
Vipi hili nalo linawezekana?Rudi kwa hr akubadilishie barua ionekane umefukuzwa
Nothing is impossible under the sunVipi hili nalo linawezekana?
we nae subiri yakukute, siku umeanza kufunga brake akili itakukaa sawaw
we utakua team lowassa bila shaka...sasa hapo ndo umeandika nn
NotedNothing is impossible under the sun
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us