FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,039
- 40,700
Serikali ya awamu ya 5 ilipoingia madarakani tuliona mageuzi ya kutisha na amsha amsha ya maendeleo kila mahali, miradi iliibuliwa na kutekelezwa kwa kasi, ikawa ndio kama tumezinduka toka usingizini.
Hii serikali ya awamu ya 6 inanishangaza sana, toka imeanza hadi sasa imekuwa ni Corona na Tozo mwanzo mwisho, yaani zaidi ya hivyo viwili hakuna kingine, kama si Corona basi ni Tozo. Huku Madelu anakamua Tozo, huku Gwajima ananunua chanjo, huku wanakamua Tozo, huku wananunua chanjo, baasi, hakuna lingine.
Tunaomba serikali itupe tumaini kwamba inajali maslahi ya wananchi, hata kama ni kwa kutudanganya tu, iachane na kelele za Corona, anaetaka kuchanjwa achanjwe lakini isiwe kwa kupiga promo kubwa hasa kupitia waziri, mnapofanya shinikizo kubwa mnatupa wasiwasi wananchi na kututisha kwamba Tozo zetu zilikuwa ni kwa lengo maalum tofauti na yale mliyoainisha kwamba ni malengo ya tozo.
Mi naogopa siku kuja kusikia Chanjo zimesababisha upotevu wa trillion 5 za fedha za Tozo, ufisadi wa namna hiyo unaweza ukasababisha wengine tunaopenda nchi tukapata magonjwa ya moyo na pressure, naogopa sana. Sina ushahidi wowote, ila ni hisia mbaya niliyoanayo kiasi napata strong connection kati ya timing ya Tozo na ununuzi wa chanjo za mikopo ya bei na masharti ‘nafuu’.
=================================
Update: 08/09/2021
Naona kumbe hizi Tozo zinaweza zikatumika kuulipa huu mkopo unaoenda kuteketezwa kununua chanjo hewa kwa matrillioni, inaumiza sana. Hizo pesa tunajenga flyover ngapi? Badala yake tunaenda kununua Johnson and Johnson
===============================
Update: 27/09/2021
👆🏽 Haya sasa, hapa ndio mjue kwanini watu tulikuwa tunapigia kelele hizo juhudi za madalali wa chanjo za kutuibia pesa kwa mgongo wa Corona, matokeo yake ndio hayo sasa, sasa kaeni kimya mnyolewe, pumbavu kabisa!
Hii serikali ya awamu ya 6 inanishangaza sana, toka imeanza hadi sasa imekuwa ni Corona na Tozo mwanzo mwisho, yaani zaidi ya hivyo viwili hakuna kingine, kama si Corona basi ni Tozo. Huku Madelu anakamua Tozo, huku Gwajima ananunua chanjo, huku wanakamua Tozo, huku wananunua chanjo, baasi, hakuna lingine.
Tunaomba serikali itupe tumaini kwamba inajali maslahi ya wananchi, hata kama ni kwa kutudanganya tu, iachane na kelele za Corona, anaetaka kuchanjwa achanjwe lakini isiwe kwa kupiga promo kubwa hasa kupitia waziri, mnapofanya shinikizo kubwa mnatupa wasiwasi wananchi na kututisha kwamba Tozo zetu zilikuwa ni kwa lengo maalum tofauti na yale mliyoainisha kwamba ni malengo ya tozo.
Mi naogopa siku kuja kusikia Chanjo zimesababisha upotevu wa trillion 5 za fedha za Tozo, ufisadi wa namna hiyo unaweza ukasababisha wengine tunaopenda nchi tukapata magonjwa ya moyo na pressure, naogopa sana. Sina ushahidi wowote, ila ni hisia mbaya niliyoanayo kiasi napata strong connection kati ya timing ya Tozo na ununuzi wa chanjo za mikopo ya bei na masharti ‘nafuu’.
=================================
Update: 08/09/2021
Naona kumbe hizi Tozo zinaweza zikatumika kuulipa huu mkopo unaoenda kuteketezwa kununua chanjo hewa kwa matrillioni, inaumiza sana. Hizo pesa tunajenga flyover ngapi? Badala yake tunaenda kununua Johnson and Johnson
#COVID19 - IMF yaidhinisha mkopo wa Tsh Trilioni 1.2 kwa ajili ya Corona Tanzania
Serikali imepata mkopo wa Trillion 1.2 kwa ajili ya kupambana na corona. Gerson Msigwa amekuwa na utaratibu mzuri sana wa kuzungumza na wanahabari karibu kila mwezi, hivyo awe anasema pia kiasi Cha mkopo ambacho Tanzania imepata kwa mwezi huo na Hali ya Deni ipoje. Si busara kukaa kimya. Hadi...
www.jamiiforums.com
===============================
Update: 27/09/2021
#COVID19 - Tanzania kupokea dozi milioni 2 za chanjo aina ya Sinopharm
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Tanzania inatarajia kupokea Dozi Milioni 2 za Sinopharm kutoka Nchini China. Kwenye chanjo hiyo, mtu atapokea dozi mbili tofauti na Johnson & Johnson ambayo inachomwa mara moja Akizungumza kutoka Mkoani Singida, Msigwa ameeleza kuwa idadi ya...
www.jamiiforums.com
👆🏽 Haya sasa, hapa ndio mjue kwanini watu tulikuwa tunapigia kelele hizo juhudi za madalali wa chanjo za kutuibia pesa kwa mgongo wa Corona, matokeo yake ndio hayo sasa, sasa kaeni kimya mnyolewe, pumbavu kabisa!