UKEREWE: Wenyeviti CHADEMA wampongeza Magufuli

Wanafiki wachache na mawakala wa mafisadi tu ndio wanachukia utawala wa Magufuli.
Wenyeviti wa mitaa kwa tiketi ya CHADEMA jimboni Ukerewe wamempongeza Rais Magufuli kwa uongozi bora. Wamemuomba Prof. Muhongo awafikishie salamu hizo.

Source: gazeti la uhuru
kama kafanya mazuri laxima apongezwe lakini akiendelea kula pesa za rambirambi za wahanga na kutowapa Watanzania haki uhuru wa habari na kujieleza lazima tumpushi.


swissme
 
  • Thanks
Reactions: Gut

Similar Discussions

Back
Top Bottom