majoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,351
- 4,028
Wandugu, Katika pita pita zangu nilikutana na Bibi wa umri mkubwa sana tu. Katika maongezi yetu Bibi tulijikuta tunaongelea kuhusu ukeketaji. Bibi alinambia ukeketaji ukifanyika vizuri ni kitu cha maana sana sana, eti kwanza kinamfanya mwanamke kuwa safi, ni rahisi kujisafisha. Pili, kinazuia mwanamke kutoa harufu, waliofanyiwa hivyo hawanuki hata wakati wa tendo kuliko wale wasiofanyiwa. Tatu, hawapati kirahisi fungus, UTI na mengine! nilibaki hoi.
Nikajaribu kumuelezea shida inayowapata wakati wa kujifungua... jamani huyu Bibi akaniambia inategemeana na mkataji, kuna ukataji mzuri ambao hauletagi shida na ndio maana .... akataja kabila la kwao... kwamba wanazaa watoto wengi na bila shida kwa kuwa wanafanyiwa vizuri. mmmmmh nilibaki mdomo wazi aliponambia waulize hata wanaume huwa wanaenjoy sana tu wakiwa na hao walioshughulikiwa!!!!! ha ha haaaa nilipingana naye lakini akanambia mimi nakataa kwa maneno, nitafute wanaojua kwa matendo ndio nibishe...
Jamani nipeni mawazo na mitazamo yenu. Aliyosema bibi ni kweli???
Nikajaribu kumuelezea shida inayowapata wakati wa kujifungua... jamani huyu Bibi akaniambia inategemeana na mkataji, kuna ukataji mzuri ambao hauletagi shida na ndio maana .... akataja kabila la kwao... kwamba wanazaa watoto wengi na bila shida kwa kuwa wanafanyiwa vizuri. mmmmmh nilibaki mdomo wazi aliponambia waulize hata wanaume huwa wanaenjoy sana tu wakiwa na hao walioshughulikiwa!!!!! ha ha haaaa nilipingana naye lakini akanambia mimi nakataa kwa maneno, nitafute wanaojua kwa matendo ndio nibishe...
Jamani nipeni mawazo na mitazamo yenu. Aliyosema bibi ni kweli???