OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,095
- 103,339
Umoja wetu umeendelea kuhujumiwa,jana polisi mkoani Mbeya wametunyima kibali cha kufanya maandamano mkoani hapa.Cha kushangaza zaidi afisa utamaduni wa jiji la Mbeya kwa maagizo ya CCM,amekataa kutoa kibali cha gari la M4C kutoa matangazo ya ujio wa Prof.Lipumba.MY TAKE:CCM wana Laana ya Demokrasia