UKAWA we need problems solvers not creators or problems talkers

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
UKAWA mnaongeea sana.Tunataka problems solvers not creators or problems talkers.
Kama kuna tatizo la madawati mtoe ufumbuzi wa madawati kupatikana sio muomgelee tatizo.Kama wanafunzi wa elimu ya Juu hawana mikopo tunataka mutafute ufumbuzi mikopo ipatikane sio muongelee tatizo la ukosefu wa mikopo elimu ya juu.
Pia hatutaki problems creators mara operation UKUTA,mara sijui operation KATA FUNUA wanainchi tunataka ufumbuzi wa matatizo halisia yenye majibu onekana waziwazi.Msiwe problems creators kuweni problems solvers hapo mtakuwa mnanifurahisha hata mimi kama mlipa kodi ambayo kodi yangu inatumika kama ruzuku na kuwafanya mtembee mijini na vijijini kwa mbwemmbwe.
 
UKAWA mnaongeea sana.Tunataka problems solvers not creators or problems talkers.
Kama kuna tatizo la madawati mtoe ufumbuzi wa madawati kupatikana sio muomgelee tatizo.Kama wanafunzi wa elimu ya Juu hawana mikopo tunataka mutafute ufumbuzi mikopo ipatikane sio muongelee tatizo la ukosefu wa mikopo elimu ya juu.
Pia hatutaki problems creators mara operation UKUTA,mara sijui operation KATA FUNUA wanainchi tunataka ufumbuzi wa matatizo halisia yenye majibu onekana waziwazi.Msiwe problems creators kuweni problems solvers hapo mtakuwa mnanifurahisha hata mimi kama mlipa kodi ambayo kodi yangu inatumika kama ruzuku na kuwafanya mtembee mijini na vijijini kwa mbwemmbwe.
Mbumbumbu mkubwa kabisa wewe, UKAWA wana serikali?
Nenda ka solve matatizo ya mkeo kutatuliwa malinda na jirani yako.
 
Mbumbumbu mkubwa kabisa wewe, UKAWA wana serikali?
Nenda ka solve matatizo ya mkeo kutatuliwa malinda na jirani yako.
CUF hawana serikali kuna kipindi walikuwa wakinunua korosho kule mikoa ya kusini kupitia kampuni yao.Walikuwa wakitatua tatizo la soko ndio maana wakapata wanachama wengi kusini.Sio lazima kuwa serikalini.
 
Mbumbumbu mkubwa kabisa wewe, UKAWA wana serikali?
Nenda ka solve matatizo ya mkeo kutatuliwa malinda na jirani yako.
Ndugu !! huoni kama kuna hoja ya Msingi hapo.
Tunataka suluhisho mbadala wa matatizo tuliyonayo. Wanasiasa wetu wasiishie tu kutaja matatizo tuliyonayo, Bali Pia wapendekeze njia mbadala wa kuyatatua, huko ndio kuishauri Serikali
Kusema tu matatizo yanayotukabili hata mimi naweza, kusema tu Serikali wanapokosea hata mimi naweza.... Bali wafanyeje kurekebisha n'a Kuondoa hizo changamoto ndio "ISSUE"
wanasiasa wetu waonyeshe uwezo, upeo, vipawa, eelimu, ubunifu na maono yao hapo. (Ni bahati mbaya sana maono ya baadhi y'a wanasiasa wetu yanakuja Baada ya kuota NDOTO, bahati mbaya zaidi NDOTO wanazoota haziji n'a maono ya kutatua matatizo yetu !! )
 
UKAWA mnaongeea sana.Tunataka problems solvers not creators or problems talkers.
Kama kuna tatizo la madawati mtoe ufumbuzi wa madawati kupatikana sio muomgelee tatizo.Kama wanafunzi wa elimu ya Juu hawana mikopo tunataka mutafute ufumbuzi mikopo ipatikane sio muongelee tatizo la ukosefu wa mikopo elimu ya juu.
Pia hatutaki problems creators mara operation UKUTA,mara sijui operation KATA FUNUA wanainchi tunataka ufumbuzi wa matatizo halisia yenye majibu onekana waziwazi.Msiwe problems creators kuweni problems solvers hapo mtakuwa mnanifurahisha hata mimi kama mlipa kodi ambayo kodi yangu inatumika kama ruzuku na kuwafanya mtembee mijini na vijijini kwa mbwemmbwe.
Huu muda wa kuandika utumbo ungeutumia Kumchemshia Mumeo Kahawa ungeonekana wa Maana kidogo
 
Problem talkers ni nini mkuu mleta mada?Tumia lugha unayoielewa vizuri ujumbe utafika tu....
 
Ndugu !! huoni kama kuna hoja ya Msingi hapo.
Tunataka suluhisho mbadala wa matatizo tuliyonayo. Wanasiasa wetu wasiishie tu kutaja matatizo tuliyonayo, Bali Pia wapendekeze njia mbadala wa kuyatatua, huko ndio kuishauri Serikali
Kusema tu matatizo yanayotukabili hata mimi naweza, kusema tu Serikali wanapokosea hata mimi naweza.... Bali wafanyeje kurekebisha n'a Kuondoa hizo changamoto ndio "ISSUE"
wanasiasa wetu waonyeshe uwezo, upeo, vipawa, eelimu, ubunifu na maono yao hapo. (Ni bahati mbaya sana maono ya baadhi y'a wanasiasa wetu yanakuja Baada ya kuota NDOTO, bahati mbaya zaidi NDOTO wanazoota haziji n'a maono ya kutatua matatizo yetu !! )
Wewe ni mtu mstaarabu sana. ..ubarikiwe
 
Mbumbumbu mkubwa kabisa wewe, UKAWA wana serikali?
Nenda ka solve matatizo ya mkeo kutatuliwa malinda na jirani yako.
Haka ni kakizingiti mkuu,eti mpaka wapate serikali ndiyo waanze kuwaza.sasa tutawaamini vipi kama wataweza?Hii hoja inamashiko na ni ushauri tu,usimzodoe.
 
UKAWA mnaongeea sana.Tunataka problems solvers not creators or problems talkers.
Kama kuna tatizo la madawati mtoe ufumbuzi wa madawati kupatikana sio muomgelee tatizo.Kama wanafunzi wa elimu ya Juu hawana mikopo tunataka mutafute ufumbuzi mikopo ipatikane sio muongelee tatizo la ukosefu wa mikopo elimu ya juu.
Pia hatutaki problems creators mara operation UKUTA,mara sijui operation KATA FUNUA wanainchi tunataka ufumbuzi wa matatizo halisia yenye majibu onekana waziwazi.Msiwe problems creators kuweni problems solvers hapo mtakuwa mnanifurahisha hata mimi kama mlipa kodi ambayo kodi yangu inatumika kama ruzuku na kuwafanya mtembee mijini na vijijini kwa mbwemmbwe.
Umoja/wingi
 
Kwahiyo ni dhairi ccm imeshindwa kutatua matatizo ambayo UKAWA wameweza kuyabaini bila shaka.Sasa kama wenzao wameweza kuyabaini na kuyaongelea uoni kua wako vizuri kuliko ccm ambayo ata kuyabaini imeshindwa mkuu mleta mada..Nitakushangaa ukiendelea kupanga mstari kuwapigia kura chama ambacho kimeshindwa kutatua matatizo yanayoibuliwa na UKAWA huku kikisubiri walio ibua ndiyo watatue.
 
  • Thanks
Reactions: mwl
Umewashauli vizuri. Ila kwa ninavyowafahamu. Watakuzawadia matusi. Ila usikate tamaa
 
Ndugu !! huoni kama kuna hoja ya Msingi hapo.
Tunataka suluhisho mbadala wa matatizo tuliyonayo. Wanasiasa wetu wasiishie tu kutaja matatizo tuliyonayo, Bali Pia wapendekeze njia mbadala wa kuyatatua, huko ndio kuishauri Serikali
Kusema tu matatizo yanayotukabili hata mimi naweza, kusema tu Serikali wanapokosea hata mimi naweza.... Bali wafanyeje kurekebisha n'a Kuondoa hizo changamoto ndio "ISSUE"
wanasiasa wetu waonyeshe uwezo, upeo, vipawa, eelimu, ubunifu na maono yao hapo. (Ni bahati mbaya sana maono ya baadhi y'a wanasiasa wetu yanakuja Baada ya kuota NDOTO, bahati mbaya zaidi NDOTO wanazoota haziji n'a maono ya kutatua matatizo yetu !! )

NO UKAWA kwa sasa tuna hacha kwanza serikali hii ya mshikaji iwanyoooooooooshe mpaka mkumbuke kuwa ilipokuwa kuwa ikiimba kale kawimbo walikuwa wakimaanisha,

Baba magufuli hakuna cha problem solver / talkwe, tena uyu "artch2311 alikuchagua siku ilee leo anadai ati ukawa, nyoo. Baba Myooooshe uyu mpaka ashike adabu yake na akumbuke kwao
 
Mbumbumbu mkubwa kabisa wewe, UKAWA wana serikali?
Nenda ka solve matatizo ya mkeo kutatuliwa malinda na jirani yako.
Serikali za mitaa mnazo na mna mameya hilo hujui? Igeni ACT wazalendo manispaa ya ujiji ambayo wao wameshika wanasomesha wakiwalipia watoto wote walioko kwenye hiyo manispaa kidato cha tano na sita
 
Umewashauli vizuri. Ila kwa ninavyowafahamu. Watakuzawadia matusi. Ila usikate tamaa
Mkuu nashukuru kwa kunitia moyo ila ninachomshukuru Mungu sikati tamaa kirahisi hata mtu asipotambua mchango wangu akaniporomoshea matusi ya nguoni sikati tamaa Mungu kanipa roho ya chuma cha pua
 
wakae wakijua kuwa kukosoa ni kazi rahisi sana hata mtoto mdogo anaweza kufanya hivyo so wabadilishe strategy badala ya kukosoa tu wake na wayfoward
 
CUF hawana serikali kuna kipindi walikuwa wakinunua korosho kule mikoa ya kusini kupitia kampuni yao.Walikuwa wakitatua tatizo la soko ndio maana wakapata wanachama wengi kusini.Sio lazima kuwa serikalini.
So unataka upinzani watoe mikopo?Upinzani wajenge barabara?Upinzani watoe ajira?
 
wakae wakijua kuwa kukosoa ni kazi rahisi sana hata mtoto mdogo anaweza kufanya hivyo so wabadilishe strategy badala ya kukosoa tu wake na wayfoward
Hv nyie mnakuwaga wapi,chukueni makabrasha na hansard tokea mwaka 2000 muone serikali imeambiwa mangapi!
 
Back
Top Bottom