Sultan_mdosse
Senior Member
- Nov 24, 2013
- 145
- 15
Habari nilizopata toka kwa mmoja wa watu wangu wa nguvu kutoka mkoani Kigoma ni kwamba,Umoja wa Katiba ya wananchi (UKAWA) Wamezuiwa kufanya mkutano ambao ulipangwa kufanyika ktk kiwanja cha Mwanga Center Mkoani Kigoma,Na inasemekana ktk kiwanja hicho kulikuwa na Mapira ya Polisi kuhakikisha hakuna mkutano utaofanyika.
Ikumbukwe kwamba katibu mkuu wa NCCR-Mageuzi, Mosena Nyambabe alitiwa mbaroni na jeshi la polisi ktk kijiji cha Nguruka wilaya ya Uvinza kwa tuhuma ya kumdhalilisha Raisi Jakaya Kikwete na kuachiwa huru kwa dhamana.
Nawasilisha
Ikumbukwe kwamba katibu mkuu wa NCCR-Mageuzi, Mosena Nyambabe alitiwa mbaroni na jeshi la polisi ktk kijiji cha Nguruka wilaya ya Uvinza kwa tuhuma ya kumdhalilisha Raisi Jakaya Kikwete na kuachiwa huru kwa dhamana.
Nawasilisha