Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
- Thread starter
- #21
KWANI NCCR NA CUF WALIKUWA WANA NAFASI GANI NDANI YA UKAWAbado kuna mazuzu huku yanataja neno ukawa , kama vile wamemezeshwa ngisi
KWANI NCCR NA CUF WALIKUWA WANA NAFASI GANI NDANI YA UKAWAbado kuna mazuzu huku yanataja neno ukawa , kama vile wamemezeshwa ngisi
ufipa wanachojua ni kwamba chadema isimamishe wagombea huku bara vyama vingine vikawapigie kampeni la sivyo utakuwa msalti kwikwikwi team mbowe bhanaKWANI MGAWANYO WA KATA KABLA YA UCHAGUZI WA MADIWANI UKAWA KATI YA CHADEMA,NCCR,NLD ,CUF WALIKUBALIANA VIPI KATA IPI ITAENDA CHADEMA, KATA IPI ITAENDA NCCR, KATA IPI ITAENDA NLD
Kivipi mkuu?jazia maelezotatizo mimi nadhani labda ni aina ya upinzani tuliokuwa naoo
Na hiyo ndio "FAIR COMPETITION" vyama vyote vishiriki uchaguziKaka wasingeweza kukubaliana kwa vile CUF walishavurugwa bara. Kupitia Mwenyekiti wao anayetambulika kwa msajili ili kuwa lazima waweke mgobea kwa maagizo ya kutoka Thithiem..So hata wangefanyaje ilikuwa ni lazima CUF waweke wagombea sehemu zoote.Na walifanya hivyo makusudi kwa maelekezo maalum.
Acha umbea bana walisema lini au uliwasemea?CUF si walisema Bara hawasimamishi mgombea yeyote?
Nadhani upo sahihitatizo mimi nadhani labda ni aina ya upinzani tuliokuwa naoo
kama upinzani wangeamua kuweka tofauti zao pembeni na kuwa kitu kimoja basi hapo walikuwa wana chance ya kuishinda ccmKivipi mkuu?jazia maelezo
Nadhani tathimini aliyoitoa Tundu Lissu ina mantiki. Upinzani uliopo hauna tatizo kwa aina ya watu tulionao hapa nchini! Ukiangalia kura zilizopatikana kwa upande wa upinzani ukalinganisha na nguvu kubwa inayogandamiza upinzani, jibu liko wazi kwamba wananchi wameichoka CCM!tatizo mimi nadhani labda ni aina ya upinzani tuliokuwa naoo
Hiyo CUF Iliyosema Ni CUF Ya Pemba Ya Maalim Seif Ambayo Haina Ushawishi Bara Lakini CUF Ya Lipumba IlisimamishaCUF si walisema Bara hawasimamishi mgombea yeyote?