Weston Songoro
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 2,793
- 1,082
Wadau, natumaini kuwa hamjambo.
Leo nimekuja kuwatonya juu ya jambo moja tu. nalo ni juu ya Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2014/2015. Mtonyaji wangu aliyepo Bungeni Dodoma amenitonya kuwa UKAWA wamethibitisha kuwa mwaka huu bajeti za Wizara zimekuwa realistic na kila wakijaribu kujenga hoja kupingana na Serikali wamekuwa wakishindwa vibaya mno. Wamesema kuwa ndani ya UKAWA wamejitathmini na kubaini kuwa wana kazi kubwa mbeleni ya kushawishi wananchi kuwa bajeti ya mwaka huu haina mashiko. Wamesema kuwa hata mtu ambaye wanamuamini kwa kujenga hoja nzito, John Mnyika safari hii amepwaya sana na sana sana anaishia kuangalia ulinganisho wa fesha zilizotengwa baina ya mwaka jana na mwaka huu. Mtonyaji amesema akinukuu kutoka kwa wana UKAWA wakisema kuwa kwa mwendo huu, Serikali ya CCM ni vigumu kuitoa madarakani.
Mtonyaji ameendelea kunihabarisha kuwa hata Wizara ya Nishati na Madini si kwamba kuna hoja nzito za wapinzani bali Reginald Mengi ameandaa kiasi kikubwa cha fedha kwa wabunge ili Prof Mhongo aonekane kuwa hafai kuwa Waziri wa wizara hiyo. Wanasema kuwa wakati waziri huyo atakapowasilisha bajeti ya Wizara yake, kuna wabunge kadhaa wameandaliwa si tu ndani ya UKAWA bali hata ndani ya CCM ili kumbomoa Prof kwa vile amekuwa kikwazo kwa Reginald Mengi na vibaraka wake.
Wamesema kuwa Mwenyekiti wa Bunge, Azan Zungu amekuwa kikwazo kwao. Wametolea mfano kuwa walipojaribu kujenga hoja juu ya Machinga, yeye aliidandia na akaacha nafasi yake ya Mwenyekiti na kuwa mchangiaji. Halikadhalika ilipokuja hoja ya kuwawezesha vijana. Wanasema kuwa hakika Zungu ni hatari zana katika kuneutralize hoja za upinzani kuliko Spika na Naibu wake. Pia wanasema kuwa Zungu ni mbabe kwa hoja na hakuna mwenye ubavu wa kushindana naye ndani ya UKAWA.
Nawatahadharisha ukawa kuwa msijaribu kuiga kunya mavi ya tembo mwisho wa siku mtapasuka msamba.
CCM HOYEEEEE!
Leo nimekuja kuwatonya juu ya jambo moja tu. nalo ni juu ya Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2014/2015. Mtonyaji wangu aliyepo Bungeni Dodoma amenitonya kuwa UKAWA wamethibitisha kuwa mwaka huu bajeti za Wizara zimekuwa realistic na kila wakijaribu kujenga hoja kupingana na Serikali wamekuwa wakishindwa vibaya mno. Wamesema kuwa ndani ya UKAWA wamejitathmini na kubaini kuwa wana kazi kubwa mbeleni ya kushawishi wananchi kuwa bajeti ya mwaka huu haina mashiko. Wamesema kuwa hata mtu ambaye wanamuamini kwa kujenga hoja nzito, John Mnyika safari hii amepwaya sana na sana sana anaishia kuangalia ulinganisho wa fesha zilizotengwa baina ya mwaka jana na mwaka huu. Mtonyaji amesema akinukuu kutoka kwa wana UKAWA wakisema kuwa kwa mwendo huu, Serikali ya CCM ni vigumu kuitoa madarakani.
Mtonyaji ameendelea kunihabarisha kuwa hata Wizara ya Nishati na Madini si kwamba kuna hoja nzito za wapinzani bali Reginald Mengi ameandaa kiasi kikubwa cha fedha kwa wabunge ili Prof Mhongo aonekane kuwa hafai kuwa Waziri wa wizara hiyo. Wanasema kuwa wakati waziri huyo atakapowasilisha bajeti ya Wizara yake, kuna wabunge kadhaa wameandaliwa si tu ndani ya UKAWA bali hata ndani ya CCM ili kumbomoa Prof kwa vile amekuwa kikwazo kwa Reginald Mengi na vibaraka wake.
Wamesema kuwa Mwenyekiti wa Bunge, Azan Zungu amekuwa kikwazo kwao. Wametolea mfano kuwa walipojaribu kujenga hoja juu ya Machinga, yeye aliidandia na akaacha nafasi yake ya Mwenyekiti na kuwa mchangiaji. Halikadhalika ilipokuja hoja ya kuwawezesha vijana. Wanasema kuwa hakika Zungu ni hatari zana katika kuneutralize hoja za upinzani kuliko Spika na Naibu wake. Pia wanasema kuwa Zungu ni mbabe kwa hoja na hakuna mwenye ubavu wa kushindana naye ndani ya UKAWA.
Nawatahadharisha ukawa kuwa msijaribu kuiga kunya mavi ya tembo mwisho wa siku mtapasuka msamba.
CCM HOYEEEEE!