UKAWA Wakubali kuwa Bajeti ya Serikali ni vigumu kuipinga kwa Hoja

Sikubaliani na ushabiki usio na mantiki kama wa mtoa mada hii. Kama kweli wewe unaguswa na matatizo yanayowazunguka watanzania kwa mfumo wa bajeti ya nchi yetu hungeweza kufurahia mtu yeyote anayebeza wanaojaribu kuboresha bajeti hizo ili kuweza kutatua matatizo yetu. Kwa mtazamo wangu ninaamini kuwa vikao vya bunge havitakiwi kuendeshwa na mtu mwenye upendeleo wa chama. Anachokifanya Zungu na wewe mtoa mada hapa ni ulimbukeni na huenda pia kwa kutojua hali halisi waliyonayo watanzania kiuchumi. Actually Zungu anatakiwa kukemewa asitafute umaarufu ambao utawaumiza watanzania baadae
 
Sikubaliani na ushabiki usio na mantiki kama wa mtoa mada hii. Kama kweli wewe unaguswa na matatizo yanayowazunguka watanzania kwa mfumo wa bajeti ya nchi yetu hungeweza kufurahia mtu yeyote anayebeza wanaojaribu kuboresha bajeti hizo ili kuweza kutatua matatizo yetu. Kwa mtazamo wangu ninaamini kuwa vikao vya bunge havitakiwi kuendeshwa na mtu mwenye upendeleo wa chama. Anachokifanya Zungu na wewe mtoa mada hapa ni ulimbukeni na huenda pia kwa kutojua hali halisi waliyonayo watanzania kiuchumi. Actually Zungu anatakiwa kukemewa asitafute umaarufu ambao utawaumiza watanzania baadae
Wewe inakuuma nini? UKAWA wenyewe ndio wametamka hayo, wewe kwa nini ulete propaganda za ajabu hapa
 
:'Hoja ni kuwa kupinga budget ndani ya binge lenye wachumia tumbo wengi wa Ccm ni ngumu Hakka.
pili nani anatumaini kubwa na budgets za serikali hii ambazo 40% zinangoja ujazo Wa bakuli la wahisani ambazo kila uchao wanatucheka kwa jinsi wanavyotunyonya kwa kufungamanisha misaada na mashsrti ya nipe nikupe.?
 
Wewe inakuuma nini? UKAWA wenyewe ndio wametamka hayo, wewe kwa nini ulete propaganda za ajabu hapa

Kumbe unadhani wasomaji wa JF wanaweza kuamini kila kinachopostiwa bila kujali credibility ya chanzo cha habari hiyo. Huenda we are looking at issues fromdifferent perspectives
 
Mi naona hapa tunabishana na wake za viongozi wa lumumba.haiwezekani jukwaa zima la siasa watuwa kuisemea ccm wakawa hawazidi kumi na kila uzi wakachangia.
hawa ni wanawake waliovaa majina ya kiume na cm zao wakiwa chooni wanachangia wakipika na hata usiku wakipigwa bao wanachangia.
kama wangekuwa wanaume wangepata wapi muda wa kutafuta kipato cha familia?
 
Wakuu, UKAWA sasa imebaki kwenye magazeti ya UDAKU na ITV. Bungeni hawana chao.

Mkuu hivi unashabikia mtindo wa kupitisha mambo muhimu ya ustawi wa nchi kwa njia ya makelele ya ndiooo na hapanaa sitarajii mwanazuoni wa karne ya 21 kushabikia mtindo huu na ile sera ya karne ya 19 ya kupinga chochote anachokubali mpinzani wako na kukubali chochote anachopinga bila kufanya upembuzi yakinifu hakika bado tuna safari ndefu:sleep:
 
tunaomba jf kukataa baadhi ya hoja zinazoletwa hapa hazina maana kabisa utafikiri mtoa hoja kanywa pombe ya ugali uliooza
 
Jipongeze na msosi huo mleta mada.
 

Attachments

  • 1401109042663.jpg
    1401109042663.jpg
    12.5 KB · Views: 41
vyichwa venyewe vya kuichalenji ccm viko waki? eti sugu na lema ndo waongoza mashambulizi, lavfkhflrfgyalkashbashshsa....

Wadau, natumaini kuwa hamjambo.

Leo nimekuja kuwatonya juu ya jambo moja tu. nalo ni juu ya Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2014/2015. Mtonyaji wangu aliyepo Bungeni Dodoma amenitonya kuwa UKAWA wamethibitisha kuwa mwaka huu bajeti za Wizara zimekuwa realistic na kila wakijaribu kujenga hoja kupingana na Serikali wamekuwa wakishindwa vibaya mno. Wamesema kuwa ndani ya UKAWA wamejitathmini na kubaini kuwa wana kazi kubwa mbeleni ya kushawishi wananchi kuwa bajeti ya mwaka huu haina mashiko. Wamesema kuwa hata mtu ambaye wanamuamini kwa kujenga hoja nzito, John Mnyika safari hii amepwaya sana na sana sana anaishia kuangalia ulinganisho wa fesha zilizotengwa baina ya mwaka jana na mwaka huu. Mtonyaji amesema akinukuu kutoka kwa wana UKAWA wakisema kuwa kwa mwendo huu, Serikali ya CCM ni vigumu kuitoa madarakani.

Mtonyaji ameendelea kunihabarisha kuwa hata Wizara ya Nishati na Madini si kwamba kuna hoja nzito za wapinzani bali Reginald Mengi ameandaa kiasi kikubwa cha fedha kwa wabunge ili Prof Mhongo aonekane kuwa hafai kuwa Waziri wa wizara hiyo. Wanasema kuwa wakati waziri huyo atakapowasilisha bajeti ya Wizara yake, kuna wabunge kadhaa wameandaliwa si tu ndani ya UKAWA bali hata ndani ya CCM ili kumbomoa Prof kwa vile amekuwa kikwazo kwa Reginald Mengi na vibaraka wake.

Wamesema kuwa Mwenyekiti wa Bunge, Azan Zungu amekuwa kikwazo kwao. Wametolea mfano kuwa walipojaribu kujenga hoja juu ya Machinga, yeye aliidandia na akaacha nafasi yake ya Mwenyekiti na kuwa mchangiaji. Halikadhalika ilipokuja hoja ya kuwawezesha vijana. Wanasema kuwa hakika Zungu ni hatari zana katika kuneutralize hoja za upinzani kuliko Spika na Naibu wake. Pia wanasema kuwa Zungu ni mbabe kwa hoja na hakuna mwenye ubavu wa kushindana naye ndani ya UKAWA.

Nawatahadharisha ukawa kuwa msijaribu kuiga kunya mavi ya tembo mwisho wa siku mtapasuka msamba.

CCM HOYEEEEE!
 
Back
Top Bottom