shikulaushinye
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 828
- 456
Ndugu watanzania, UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI UKWA tukiingia ikulu ndani ya mwezi mmoja tutaanza na haya:-
1. Kufukuza vigogo ambao ni vibaraka wa CCM
2. Kupiga mnada mtambo wa kuangalia mawasiliano ya watu.
3. Kupiga mnada ndege ya Rais
4. Kukamata watuhumiwa wote wa wizi wote kuanzia wale EPA NA ESCROW yaani Manji, Rostam, Mramba, Yona, Lowasa, Mkape, anna, Yona, Ngereji, Tibai, na wengine.
5. Kurudisha nyumba zilizogawiwa bure
1. Kufukuza vigogo ambao ni vibaraka wa CCM
2. Kupiga mnada mtambo wa kuangalia mawasiliano ya watu.
3. Kupiga mnada ndege ya Rais
4. Kukamata watuhumiwa wote wa wizi wote kuanzia wale EPA NA ESCROW yaani Manji, Rostam, Mramba, Yona, Lowasa, Mkape, anna, Yona, Ngereji, Tibai, na wengine.
5. Kurudisha nyumba zilizogawiwa bure