UKAWA waiongezea gharama familia ya marehemu Makaidi kwa kuchelewesha maziko bila msaada

shikulaushinye

JF-Expert Member
Aug 29, 2014
828
456
Wana jamii leo nilikuwa kwenye msiba wa Mzee wetu Emmanuel Makaidi pale sinza, wkt tukiwa msibani nilisikia baadhi ya wana ndugu wakilalamika kuwa UKAWA wameongezea gharama za msiba ikiwa ni pamoja na kutoa huduma za chakula na nk zaidi ya siku 4 za ziada huku Mheshimiwa Mbowe na Lowasa wakiwa wametoa rambarambi ya shilingi laki tatu tu (300,000/=). UKAWA watagharimia siku ya kuzika tu. Familia ingeweza kufanya maziko tangi wiki iliyopita lkn UKAWA waliwazuai ili mheshimiwa LOWASSA amalize ratiba ya mikutano huko MBEYA.
 
Anayeongeza gharama ni nani kama sio nyie vimbelembele mnaoenda kukaa misimbani kubana bajeti zenu. Kama uliona hivyo kwa nini usishauri waombolezaji wafike pale mida ya jioni wakiwa wameshakula makwao lkn umekuwa mmojawapo wa kwenda kuongeza gharama halafu unakuja huku eti gharama zimeongezeka nani kaziongeza kama sio wewe. Halafu cha ajabu umewahi mida hii ya msosi du we noma. Kwa hiyo ulitaka ukawa wakulishe?
 
Anayeongeza gharama ni nani kama sio nyie vimbelembele mnaoenda kukaa misimbani kubana bajeti zenu. Kama uliona hivyo kwa nini usishauri waombolezaji wafike pale mida ya jioni wakiwa wameshakula makwao lkn umekuwa mmojawapo wa kwenda kuongeza gharama halafu unakuja huku eti gharama zimeongezeka nani kaziongeza kama sio wewe. Halafu cha ajabu umewahi mida hii ya msosi du we noma. Kwa hiyo ulitaka ukawa wakulishe?

Me ni mwana ndugu sasa unataka nitoke niende wapi? UKAWA pelekeni pesa msibani siyo kuongeza gharama bila sababu za msingi.
 
Me ni mwana ndugu sasa unataka nitoke niende wapi? UKAWA pelekeni pesa msibani siyo kuongeza gharama bila sababu za msingi.

Kwa hiyo wewe ndio mwana ndugu unayelalamika? Ukawa wamehusika vipi kuchelewesha mazishi? Mbona msemaji wa familia alisema walikaa kama familia wakaamua siku ya maziko ikiwa ni pamoja na kuuleta mwili Dar?

Acha njaa dogo nenda kale kwako ndio uje msibani.
 
Me ni mwana ndugu sasa unataka nitoke niende wapi? UKAWA pelekeni pesa msibani siyo kuongeza gharama bila sababu za msingi.

Angalia isije ikawa ndio mliomtoa horo ili mpate hela toka ukawa maana siku hizi binadamu mmekuwa na tabia za ajabu. Ama umeona kwenye maalibino mambo ni magumu umeamua kugeuza wanasiasa ndio sehemu ya kafara?
 
Kwani walitaka wamzike haraka haraka mtu wa watu? Hao wanaokwenda msibani kwanini hawachangii gharama? Yaani wanataka UKAWA iwalishe tu? Mbona siyaelewi haya malalamiko?
Wana jamii leo nilikuwa kwenye msiba wa Mzee wetu Emmanuel Makaidi pale sinza, wkt tukiwa msibani nilisikia baadhi ya wana ndugu wakilalamika kuwa UKAWA wameongezea gharama za msiba ikiwa ni pamoja na kutoa huduma za chakula na nk zaidi ya siku 4 za ziada huku Mheshimiwa Mbowe na Lowasa wakiwa wametoa rambarambi ya shilingi laki tatu tu (300,000/=). UKAWA watagharimia siku ya kuzika tu. Familia ingeweza kufanya maziko tangi wiki iliyopita lkn UKAWA waliwazuai ili mheshimiwa LOWASSA amalize ratiba ya mikutano huko MBEYA.
 
Me ni mwana ndugu sasa unataka nitoke niende wapi? UKAWA pelekeni pesa msibani siyo kuongeza gharama bila sababu za msingi.

Hiyo familia haijiwezi kiasi hicho? Au mnataka mlambe rambirambi kama Chris Lukosi a.k.a chilisosi!
 
Wana jamii leo nilikuwa kwenye msiba wa Mzee wetu Emmanuel Makaidi pale sinza, wkt tukiwa msibani nilisikia baadhi ya wana ndugu wakilalamika kuwa UKAWA wameongezea gharama za msiba ikiwa ni pamoja na kutoa huduma za chakula na nk zaidi ya siku 4 za ziada huku Mheshimiwa Mbowe na Lowasa wakiwa wametoa rambarambi ya shilingi laki tatu tu (300,000/=). UKAWA watagharimia siku ya kuzika tu. Familia ingeweza kufanya maziko tangi wiki iliyopita lkn UKAWA waliwazuai ili mheshimiwa LOWASSA amalize ratiba ya mikutano huko MBEYA.

Hawa watani zangu mna balaa

Kwa waislamu mtu akifika anatakiwa kuzikwa chap chap.Huyo angezikwa kule kule alikofia siku ile ile.Yaani mmegeuza maiti kama iko kwenye utalii na maonyesho.Kafia masasi mnamtembeza toka Masasi hadi dar halafu anafika Dar mnamuweka kwenye mafriji weeee.Mbona mnatesa maiti hivyo? Faida gani hasa mnapata kwa kuweka maiti hivyo?

Kamzikeni mtu wa watu.Au mnasubiria tuhela twa mchango? mumefanya maiti mradi wa kuingiza kipato?
 
Wana jamii leo nilikuwa kwenye msiba wa Mzee wetu Emmanuel Makaidi pale sinza, wkt tukiwa msibani nilisikia baadhi ya wana ndugu wakilalamika kuwa UKAWA wameongezea gharama za msiba ikiwa ni pamoja na kutoa huduma za chakula na nk zaidi ya siku 4 za ziada huku Mheshimiwa Mbowe na Lowasa wakiwa wametoa rambarambi ya shilingi laki tatu tu (300,000/=). UKAWA watagharimia siku ya kuzika tu. Familia ingeweza kufanya maziko tangi wiki iliyopita lkn UKAWA waliwazuai ili mheshimiwa LOWASSA amalize ratiba ya mikutano huko MBEYA.

Ulikua umeenda kula nini hukukuta msosi pole sana msiba ni matatizo sio mahali pa kuponea na njaa zako.
 
Anayeongeza gharama ni nani kama sio nyie vimbelembele mnaoenda kukaa misimbani kubana bajeti zenu. Kama uliona hivyo kwa nini usishauri waombolezaji wafike pale mida ya jioni wakiwa wameshakula makwao lkn umekuwa mmojawapo wa kwenda kuongeza gharama halafu unakuja huku eti gharama zimeongezeka nani kaziongeza kama sio wewe. Halafu cha ajabu umewahi mida hii ya msosi du we noma. Kwa hiyo ulitaka ukawa wakulishe?

Msamehe bure amehamishia familia yake hapo msiban akijua watakula na kunywa njaa mbaya kweli.
 
Ndugu lawama...kwani mnashindwa nini kuzika...mbona kwa kamanda mtoi ilifanyika kikamanda....endekezeni siasa tu mpk makaburini
 
Wana jamii leo nilikuwa kwenye msiba wa Mzee wetu Emmanuel Makaidi pale sinza, wkt tukiwa msibani nilisikia baadhi ya wana ndugu wakilalamika kuwa UKAWA wameongezea gharama za msiba ikiwa ni pamoja na kutoa huduma za chakula na nk zaidi ya siku 4 za ziada huku Mheshimiwa Mbowe na Lowasa wakiwa wametoa rambarambi ya shilingi laki tatu tu (300,000/=). UKAWA watagharimia siku ya kuzika tu. Familia ingeweza kufanya maziko tangi wiki iliyopita lkn UKAWA waliwazuai ili mheshimiwa LOWASSA amalize ratiba ya mikutano huko MBEYA.
Hivi huwa hamjisikii aibu kwenda kuhemea vyakula vya msibani? hapo kwenye daftari hujachanga hata buku, waswahili sisi ni kama tumelaaniwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom