Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,567
- 217,912
Huyu Mzee ndiye Mwenyekiti wa KAMATI YA MAADILI ya bunge la Tanzania , huyu ndiye mkandamizaji mkubwa wa haki za wabunge .
Kwa umri wake mkubwa wa miaka 68 tulitarajia awe mfano bora kwa jamii kwa kuhimiza mahusiano bora ndani ya bunge , jambo ambalo ameshindwa , kama Mwenyekiti wa kamati ameshindwa kumshauri Spika Job Ndugai kuacha kuvunja katiba ya nchi kwa mihemko ya chama chake cha ccm.
UKAWA mkijipanga vizuri kuanzia sasa huyu Mzee mnamg'oa Pale Newala bila shaka yoyote , ILI IWE FUNDISHO KWA WAZEE WENGINE , kwamba unapokuwa mtu mzima ni lazima ujivike cheo cha usuluhishi na ushauri , badala ya kushabikia UNOKO unaovunja katiba ya nchi .
Naomba kuwasilisha .
Kwa umri wake mkubwa wa miaka 68 tulitarajia awe mfano bora kwa jamii kwa kuhimiza mahusiano bora ndani ya bunge , jambo ambalo ameshindwa , kama Mwenyekiti wa kamati ameshindwa kumshauri Spika Job Ndugai kuacha kuvunja katiba ya nchi kwa mihemko ya chama chake cha ccm.
UKAWA mkijipanga vizuri kuanzia sasa huyu Mzee mnamg'oa Pale Newala bila shaka yoyote , ILI IWE FUNDISHO KWA WAZEE WENGINE , kwamba unapokuwa mtu mzima ni lazima ujivike cheo cha usuluhishi na ushauri , badala ya kushabikia UNOKO unaovunja katiba ya nchi .
Naomba kuwasilisha .