UKAWA tupeni mrejesho wa mafanikio ya mgomo bungeni!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,171
23,866
Bunge limeisha na wabunge wamerudi majumbani au majimboni.

UKAWA wakiongozwa na Mbowe wa CHADEMA waliapa kutohudhuria Bungeni mpaka Dr Tulia ang'oke.
Dr Tulia si tu bado aliendesha vikao vyote, bali kwa kudra ya Mola hata mafua hakupata hivyo kuhudhuria vikao vyote.

Kila msimamo lazima utsthminiwe, mimi nilikuwa CHADEMA hadi mafisadi walipokiteka nyara.
Midimamo ya kiuongozi sasa ni kama gari bove linaloharibikia barabarani na spana mkononi.
UKAWA/Mowe/CHADEMA hebu tupeni mrejesho wa mgomo bungeni.
 
Bunge limeisha na wabunge wamerudi majumbani au majimboni.

UKAWA wakiongozwa na Mbowe wa Chadema waliapa kutohudhuria Bungeni mpakabDr Tulia ang'oke.
Dr Tulia si tu bado aliendesha vikao vyote, bali kwa kudra ya Mola hata mafua hakupata hivyo kuhudhuria vikao vyote.

Kila msimamo lazima utsthminiwe, mimi nilikuwa Chadema hadi mafisadi walipokiteka nyara.
Midimamo ya kiuongozi sasa ni kama gari bove linaloharibikia barabarani na spana mkononi.
UKAWA/Mowe/Chadema hebu tupeni mrejesho wa mgomo bungeni.
Yapo mengi mfano bajeti kandamizi kupita,VAT kwenye taasisi za fedha, maisha mtani kuwa magumu,inflation......
 
Faida ni yule Mwenye mgahawa pale Viwanja Vya bunge ameuza sana chai ,

Ukawa kazi tuliyokuwa nayo ni kunywa chai ,wakati wenzetu wakijadili mambo mazito wakiyotumwa na wapiga kura wao
 
Faida ni yule Mwenye mgahawa pale Viwanja Vya bunge ameuza sana chai ,

Ukawa kazi tuliyokuwa nayo ni kunywa chai ,wakati wenzetu wakijadili mambo mazito wakiyotumwa na wapiga kura sina uakika kama kibajaji anajua maana ya neno VAT
 
Bunge limeisha na wabunge wamerudi majumbani au majimboni.

UKAWA wakiongozwa na Mbowe wa Chadema waliapa kutohudhuria Bungeni mpakabDr Tulia ang'oke.
Dr Tulia si tu bado aliendesha vikao vyote, bali kwa kudra ya Mola hata mafua hakupata hivyo kuhudhuria vikao vyote.

Kila msimamo lazima utsthminiwe, mimi nilikuwa Chadema hadi mafisadi walipokiteka nyara.
Midimamo ya kiuongozi sasa ni kama gari bove linaloharibikia barabarani na spana mkononi.
UKAWA/Mowe/Chadema hebu tupeni mrejesho wa mgomo bungeni.
Imeonyesha jinsi ganimlivoumbuka kwakupitisha bajet yenye mapato msiyoyajua halafu mnajichanganya kwa wananchi imeonyesha kumbe nani alikua mchawi na bado mtakavoumbuka na elimu yenu sijui ya memkwa
 
Bunge limeisha na wabunge wamerudi majumbani au majimboni.

UKAWA wakiongozwa na Mbowe wa Chadema waliapa kutohudhuria Bungeni mpakabDr Tulia ang'oke.
Dr Tulia si tu bado aliendesha vikao vyote, bali kwa kudra ya Mola hata mafua hakupata hivyo kuhudhuria vikao vyote.

Kila msimamo lazima utsthminiwe, mimi nilikuwa Chadema hadi mafisadi walipokiteka nyara.
Midimamo ya kiuongozi sasa ni kama gari bove linaloharibikia barabarani na spana mkononi.
UKAWA/Mowe/Chadema hebu tupeni mrejesho wa mgomo bungeni.
Nimeshaamini hapa JF bila neno - UKAWA/LOWASSA/CHADEMA Thready hazina mashiko! Yaani ukienda mpaka kwenye Thready za CHIT CHAT hutakosa kuona haya majina!
 
Hawana dira hao, kwanza hats hoja ya msingi ya kugomea bunge haikuwepo.
Walizidiwa hoja na uwezo na Dr. Tulia
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom