Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,304
- 12,965
Kwakuwa matokeo yameshatangazwa na "rais" kujulikana tunaomba UKAWA sasa watuwekee matokeo halisi kutoka majimboni vs matokeo ya nec ili tuone uchakachuaji ulivyofanyika maana wengi tunahamu ya kujua ilikuwaje kura zikawa zinaongezeka na kuhamia kwa mgombea mwingine. Pls tuwekeeni takwimu sahihi kama mlivyokusanya kwani sasa hivi sio dhati kwakuwa nec wameshatangaza ya kwao