UKAWA tafuteni wagombea imara tuwape kura

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,635
29,967
Tatizo pekee tulilonalo watanzania ni kutumia nguvu kubwa kutengeneza jambo alafu tunaharibu dakika za mwisho, wakati huu ulikuwa wakati mzuri wa kujiandaa kwa 2020 au 2025 lakini ubovu ni kuwa nyie ni matapeli sio wanasiasa wa ukweli, siasa mnafanyia biashara.

Uhakika nilionao, nguvu mnazowekeza katika siasa mngekuwa mmeshapata hata mwaka mmoja Ikulu, ila tatizo mnachanganya uhuni na siasa, wananchi wanataka watu wa kuwatetea na kusema kweli sijaona kama mnampango mwingine tofauti na Lowassa ambaye alishajitangaza tokea mwaka juzi kuwa ndiyo atagombea.

Angalau msimamishe Hashim Rungwe, au mshawishi wengine wajiunge UKAWA lakini wawe waadilifu siyo Lowassa mwana wa CCM

Bila kuwa makini mtaendelea kuwa wapinzani milele
 
Tatizo pekee tulilonalo watanzania ni kutumia nguvu Kubwa kutengeneza jambo alafu tunaharibu dakika za mwisho, wakati huu ulikuwa wakati mzuri Wa kujiandaa kwa 2020 au 2025 lakin ubovu ni kuwa nyie ni matapeli sio wanasiasa Wa ukweli , siasa mnafanyia biashara. Uhakika nilio nao, nguvu mnazowekeza katika siasa mungekuwa mmesha pata hata mwaka mmoja Ikulu, ila tatizo mnachanganya uhuni na siasa, wananchi wanataka watu Wa kuwatetea na kusema kweli sijaona kama MNA mpango mwingine tofaut na lowassa ambaye alishajitangaza tokea mwaka juzi kuwa ndiyo atagombea,

Angalau msimamishe Hashim rungwe, au shawish wengine wajiunge UKAWA lakin wawe waadirifu,

Bila kuwa makini mtaendelea kuwa wapinzani milele
Sisi baadhi ya watanzania tunawauliza mnamchukia nn lowassa ?? Kama kweli fisadi au mwizi kwann msimpeleke mahakamani ?? Itakuwa. Nyinyi. Ndo wezi na lowassa mnamuogopa atakufungeni
 
Sisi baadhi ya watanzania tunawauliza mnamchukia nn lowassa ?? Kama kweli fisadi au mwizi kwann msimpeleke mahakamani ?? Itakuwa. Nyinyi. Ndo wezi na lowassa mnamuogopa atakufungeni
Kutofikishwa mahakamani hakukuondolei ufisadi ulionao. Hata CCM kuna watu wa aina hiyo lakini hawajafikishwa mahakamani bado. Sifa ya Ufisadi haifi kwa kuwa hujafikishwa mahakamani. Isitoshe waliohubiri kuwa bwana yule ni Fisadi ni hao ndugu zako CHADEMA kwa miaka 8. Waulize wana mpango gani wa kumfikisha yeye mahakamani maana walisema wana ushahidi wa kutosha, mara ni heshima kubwa kwa Mola yeye akizomewa na kashfa kede kede. Utapata majibu huko CDM. CCM Tuliamua kuachana naye kwa kumkata kwenye nafasi ya Ugombea wa Urais. Hao wanachukua hatua gani? Waulize utajibiwa huko!!
 
Kutofikishwa mahakamani hakukuondolei ufisadi ulionao. Hata CCM kuna watu wa aina hiyo lakini hawajafikishwa mahakamani bado. Sifa ya Ufisadi haifi kwa kuwa hujafikishwa mahakamani. Isitoshe waliohubiri kuwa bwana yule ni Fisadi ni hao ndugu zako CHADEMA kwa miaka 8. Waulize wana mpango gani wa kumfikisha yeye mahakamani maana walisema wana ushahidi wa kutosha, mara ni heshima kubwa kwa Mola yeye akizomewa na kashfa kede kede. Utapata majibu huko CDM. CCM Tuliamua kuachana naye kwa kumkata kwenye nafasi ya Ugombea wa Urais. Hao wanachukua hatua gani? Waulize utajibiwa huko!!
Tangu lini umekuwa mahakama kujua huyu ni fisadi huyu siye.
 
Hii habari na imfikie Lwakatare, anachokifanya sahivi ni 'uhuni'. Anaishi kwa mazoea na kimizengwe ....wapinzani hatuwachukii ila kutulazimisha tumuelewe mtu kama Lwakatare inahitaji mtu uwe umepimwa uchizi
 
Hii habari na imfikie Lwakatare, anachokifanya sahivi ni 'uhuni'. Anaishi kwa mazoea na kimizengwe ....wapinzani hatuwachukii ila kutulazimisha tumuelewe mtu kama Lwakatare inahitaji mtu uwe umepimwa uchizi
Kweli
 
Tatizo pekee tulilonalo watanzania ni kutumia nguvu Kubwa kutengeneza jambo alafu tunaharibu dakika za mwisho, wakati huu ulikuwa wakati mzuri Wa kujiandaa kwa 2020 au 2025 lakin ubovu ni kuwa nyie ni matapeli sio wanasiasa Wa ukweli , siasa mnafanyia biashara. Uhakika nilio nao, nguvu mnazowekeza katika siasa mungekuwa mmesha pata hata mwaka mmoja Ikulu, ila tatizo mnachanganya uhuni na siasa, wananchi wanataka watu Wa kuwatetea na kusema kweli sijaona kama MNA mpango mwingine tofaut na lowassa ambaye alishajitangaza tokea mwaka juzi kuwa ndiyo atagombea,

Angalau msimamishe Hashim rungwe, au shawish wengine wajiunge UKAWA lakin wawe waadirifu,

Bila kuwa makini mtaendelea kuwa wapinzani milele
Kura yako peleka kulelekule mbele kwa mbelembele maana haitisaidii tunazo kura za kutosha shida ni Tume uhuru dhidi ya bao la mkono.
 
Kura yako peleka kulelekule mbele kwa mbelembele maana haitisaidii tunazo kura za kutosha shida ni Tume uhuru dhidi ya bao la mkono.
Mawazo ya kijinga uanzia pale unapoenda kwa daktari unaumwa mkono lakin unamdanganya unaumwa kichwa, hivo hivo kwa UKAWA wanajua walikosea wapi wanasingizia kuibiwa kura, huo ni ujinga , sasa namshangaa MTU anayehisi kuna mambo ya kuibiana kura,
 
Mkitaka UPINZANI uneemeke NI mbowe akae PEMBENI zije DAMU MPYA KABSA SIZOKUWA UWOGA na SURA YA MTU........Na huyo m/kiti atakayechaguliwa awe na UJASIRI kama wa KIKWETE wa chama kwanza mtu BADAE.....atleast mnaweza kuwa na UJASIRI wa kuitetemesha CCM 2020 KUELEKEA 2025.....vINGNEVYO MSAHAU kuindoa CCM madarakani
 
Kutofikishwa mahakamani hakukuondolei ufisadi ulionao. Hata CCM kuna watu wa aina hiyo lakini hawajafikishwa mahakamani bado. Sifa ya Ufisadi haifi kwa kuwa hujafikishwa mahakamani. Isitoshe waliohubiri kuwa bwana yule ni Fisadi ni hao ndugu zako CHADEMA kwa miaka 8. Waulize wana mpango gani wa kumfikisha yeye mahakamani maana walisema wana ushahidi wa kutosha, mara ni heshima kubwa kwa Mola yeye akizomewa na kashfa kede kede. Utapata majibu huko CDM. CCM Tuliamua kuachana naye kwa kumkata kwenye nafasi ya Ugombea wa Urais. Hao wanachukua hatua gani? Waulize utajibiwa huko!!
Sasa kama hutaki visasi mbona aliye ikulu nae fisadi na ulimchagua?
Kwanini huku chagua act?
 
Huyu unaemuona dhaifu alishinda kama kawaida yenu mkafanya mlichofanya, je imara akija itakuwaje? niWOGA TU UNAWASUMBUA ILA 2020 HATUKUBALI HATA KWA VIFARU!
 
Sasa kama hutaki visasi mbona aliye ikulu nae fisadi na ulimchagua?
Kwanini huku chagua act?
Huyo wa kwenu kwa nini alijiuzulu? Unakumbuka? Richmond!! Lakini huyu hajafanya uamuzi personally bali collectively kama Baraza la Mawaziri. Uuzaji wa nyumba za Serikali ilikuwa Sera ya Serikali nzima na iliamuliwa siyo na yeye bali Baraza Zima la Mawaziri Waziri Mkuu akiwa Sumaye ambaye pia yuko huko kwenu!! Muulizeni yeye maana alikuwa mkubwa kipindi hicho kuliko Rais wetu wa sasa! Mambo ya TEMESA kununua kivuko sijui yeye hakuwa Afisa Masuuli ( ACCOUNTING OFFICER) wala Mjumbe wa Bodi ya Manunuzi. Ungejua kazi ya Waziri usingeuliza maswali ya kijinga na kishenzi kama hayo!! JIELIMISHE SANA WEWE LOFA
 
Sisi baadhi ya watanzania tunawauliza mnamchukia nn lowassa ?? Kama kweli fisadi au mwizi kwann msimpeleke mahakamani ?? Itakuwa. Nyinyi. Ndo wezi na lowassa mnamuogopa atakufungeni
Hili swali nimejiuliza kweli....kwanini hakamatwi?
 
Mkitaka UPINZANI uneemeke NI mbowe akae PEMBENI zije DAMU MPYA KABSA SIZOKUWA UWOGA na SURA YA MTU........Na huyo m/kiti atakayechaguliwa awe na UJASIRI kama wa KIKWETE wa chama kwanza mtu BADAE.....atleast mnaweza kuwa na UJASIRI wa kuitetemesha CCM 2020 KUELEKEA 2025.....vINGNEVYO MSAHAU kuindoa CCM madarakani

Mwenyekiti wetu ajaye mnamtengeneza wenyewe CCM na vibaraka wenu wa mahakama. Tunajua mnamtafutia sababu ya kukaa nje ya uraia miezi mitatu ili mumfute ubunge. Mnamtengeneza mnampika kwa jiko la muffle furnace akitoka hamtamweza hata kwa batallion kumi za JW. Yuko Kisongo prisons. Je mnamjua?
 

Similar Discussions

14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom