Ndicho mlicho baki nacho tu cha kutoa vitisho, mmeishiwa hoja, mmekosa majibu ya matatizo ya watanzania, sasa mlichobaki nacho ni kutumia polisi, mahakamani basi.Hizo kashfa zako subiri ukatoe maelezo maana siku si nyingi utakamatwa maana tunakujua vizuri. Kumbuka unakashfu KITI cha Urais na adhabu yake inajulikana.
Uwongozi si lelemama, inahitaji weledi, uvumilivu na busara
Tumekwisha wachoka ondokeniiiiiiii