Nawatonya kuwa sera ya CUF ya jino kwa jino ni sahihi kabisa maana msione mnacheka na ccm na kudhana mko poa.......sera ya jino kwa jino ndio silaha yetu kuanzia sasa hivi,wakimwaga mboga sisi twamwaga ugali,wakipiga shafu ili sisi twarudisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.